Home
Unlabelled
hasheem thabeet azidi kung'ara marekani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kumbe 68-68 siku hizi ni USHINDI eeh?! Haya, twende kazi!
ReplyDeleteWATANZANIA WANAKUNA VICHA HETI
ReplyDeleteMIDUNDO YA VIKAPU === HASHEEM THABIT
UMAHIRI WA KIMATAIFA ==== JONIE MASHAKA
UONGOZI BORA BARANI ===== JK KIKWETE
UDIPLOMASIA WA HALI YA JUU === ROSE MIGIRO
HAWA WOTE NI WAZAWA WA TANZANIA NA SIYO WAKENYA
Hapo sijaelewa vizuri kidogo, yaani ameiwezesha kuishinda Bufallo 68-68 au ameiwezesha kutoa DROO?? Lakini yote kwa yote Hasheem kiukweli anatisha katika libeneke la kikapu, na natumaini atatutoa wabongo kimasomaso kwenye michuano ya Kikapu inayotarajiwa kuanza huko Nairobaa. Wasiwasi wangu ni kuwa wapinzani wa jadi haswa Wakenya wanaweza kugoma kwa kudai kuwa mshkaji ni mrefu kupindukia.
ReplyDeletesamahani kama nimekosea mie sio mtu wa kikapu ila kusaidia ushindi wa 68-68 ? ni ushindi au Draw na navyosikia kikapu mpaka apatikane mshindi au ni 168 kwa 68? turekebishie hapo tuelewe huyu jamaa kweli 20yrs Old? si kwamba majungu nauliza tu swali nipate jibu.
ReplyDeletehiyo ni typo. Ukifuata link utaona ni 168 164
ReplyDelete68-64...
ReplyDeleteHIYO 68 - 68 MMEIPATA WAPI MIMI NAONA 68 - 64 AU MIMI KIPOFU. HATA KWENYE WEB KUNAONYESHA 68 - 64 HATA UKICHEKI VIDEO UKIHESABU 68 - 64 NA HATA BOARD INAONYESHA HIVYO, ANYWAY BPENGINE MIMI NI KPOFU
ReplyDeleteNyie mnaosema 68-68 mna matege ya macho nyie. Angalieni vizuri sio mnadandia kihiace kwa mbele.
ReplyDeleteNi 68-64
Hao walioandika 68-68. Wote ni watanio wa jadi makengaza kiba teeeeeeeh.
ReplyDeleteSasa hayo sijui ni makengeza, au matege ya macho, au trakoma ndio imevamia bongo ama sijui niaje! kote hata hapo juu alipoandika Michu panasema 68-64!! Msiwe mnajaribu kuomba lift kwenye ndege au kudandia treni kwa mbele ...!!
ReplyDeleteNAni aliwaambia basketball ina draw nyie!! Na hao bila shaka ni wabongo tuu!! Basketball haina draw sio soka hii...!! Acheni kudandia hiace kwa mbele...
ReplyDeletemwanzo michuzi alikosea sio kama matege hamshangai asilimiak ubwa wa mwanzo wameona 68-68 sababu mwanzo ilikuwa hivyo michuzi angeomba msamaha kwa kukosea sasa ndio karekebisha kwahiyo si makengeza na bila hao asingebadilisha sababu wamelalamika huo ushindi au draw na kikapu hakuna kitu draw ikiwa hivyo inaenda Over Time zaidi ya muda sijui noti richabo kutafsiri hahaha.
ReplyDeleteunayosema kudandia Hiace kwa mbele wewe ndio ndugu yangu unashika mpini wa kibao cha nazi kabla kuuliza ungeuliza ilikuwaje ndio ungejuwa mwanzo alikosea kuandika aliweka 68-68 ila ni binadamu kukosea inatokea matokeo ni 68-64 sasa ndio kapatia kuandika. ukiniambia kuchemsha kachemsha aliyesema 168-164 huyo ndio kachemsha peke yake.
ReplyDeleteOOh huyu Thabeet ni Mkalenjin, hamuoni hivo yuko mrefu? Sasa! Mwabisha nini ni Mkenya huyo ndio maana yuko na success, angekuwa Mtz angekuwa lazy lazy asingekuwa hapo alipo! {(hapo inabidi uongee kwa lafudhi ya Kiswahili cha Narobi (Nairobi inatamkwa hivyo na wenyewe)}
ReplyDeleteHuyo ni dada wa Kikenya huyo anadai kuwa Thabeet ni Mkenya, ukienda kwenye you tube, wanamuziki wazuri wanaoimba vizuri woote utasikia huyo si Mtz ni Mkenya huyo, wakibanwa aah si atoka East Africa! yote ni mojja hiyo!!
Hapana, hawajakosea..
ReplyDeletemwanzo ilikuwa 68-68
sasa hivi imerekebishwa.
Kuna watu hapa sasa inabidi wapewe special threads na ziwe kama picha ndefu za kihindi au kilatino zilizopachikwa kimfululizo (series): sasa tuko hapa
ReplyDeleteHasheem Thabit series XXII.
JOhn Mashaka series XXI
Vekesheni Mkuu wa nanii series XX
Rhemtullah series IX
CCM shina la reading series VIII
Zain series VII
Flavian Matata series Coming back soon
Richard BBA- series- OS
Baadaye series za matukio zitafuata zikiongozwa na EPA-UFISADI
Stony Brook next.. Muombeeni MTZ ashinde. inamuongezea nafasi huko NBA..
ReplyDeleteThabeet is the new Lebron.
ReplyDeleteNew York Knicks inakusubiri kwa hamu.
ASANTE HASHEEM,BIDII NDIO MSINGI WA MAFANIKIO KTK MICHEZO.
ReplyDeleteBIDII MPAKA SIKU UNASTAAFU GAME .
hasheem is no where near lebrom but he still got a chance to improve his game though
ReplyDelete