Home
Unlabelled
JK atua msumbiji kwa ziara ya kikazi ya siku mbili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapo kweli Rais wetu sikuwezi!
ReplyDeleteHao askari kwenye gwaride mbona kila mtu anaangalia kivyake, mwinge kulia mwingine kushoto..ni sahihi au show gem??
ReplyDeletemdau namba 6
hawa ndo ndugu zetu wa kweli, jirani zetu wa kusini. Tumefanana nao sana kwa mengi. Hawa ndo wangefaa kufanya nao muungano. Good people Mozambique, Aluta continua!!!
ReplyDeleteUkiangalia picha ya kwanza ya huyo Rais wa Msumbiji, ukitizama macho yake, pua na mdomo vinanikumbusha picha za "TASWIRA" za Braza Michu
ReplyDeletealuta continua
ReplyDeleteHao ndo wa kufanya nao FEDERATION si watani-wa-jadi, wanajifanya wajanja kuliko sisi. GO KIKWETE GO. muungano na NCHUMBIJI, MALAWI ZAMBIA, DRC safi tu.
ReplyDeleteJK kwa kusuuzwa roho na watoto huwa unanifurahisha sana. Yaani ukiona watoto unakunwa kabisaaa hadi sura inaonyesha. Kweli upendo wako kwa watoto ni wa kutoka ndani sio usoni
ReplyDeleteJamani brother Michuzi, mbona pua, midomo, meno na uso wa Rais Gwebuza haviendani? Kamera ilikosea au ndiyo alivyo? Naomba jibu maana picha hii inatisha na kama ni kamera basi tujue.
ReplyDeleteMdauzzzzzzzz
Najibu swali la mdau 6 siyo kila gwaride lazima lifanane na la kwetu kwani haya magwaride yanategemea na huko siku za nyuma nani alikuwa mtawala wako.Kwa maana hiyo inawezekana saluti ya hawa wenzetu ni kumpokea Rais kwa kichwa/macho na kuendelea kumsindikiza anapokupita.
ReplyDelete