Waimbaji wa kundi la Jahazi Modern Taarab wakifanya vitu vyao katika onesho lililofanyika Ijumaa hapo Leicester ambapo leo Jumapili Desemba 21 watafanya onyesho lao la mwisho nchini Uingereza katika ukumbi wa Spice Launge Discotheaque wa Milton Keynes.
Address:
3 Savoy Crescent,
Theatre Centre District,
Milton Keynes
MK9 -3PU
Muda:Kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa tisa usiku.
Kiingilio:£15
Wasiliana nasi :
02083265607,
07861351135
dang!!!!! huyo dada ndo mwenyewe kwa mipasho napenda saaaaaana style yako mana unapasha ipasavo.hicho kidole ndo unasuta kabisa! yani taarabu ndo inachezwa hivi.wow utaki mchezo.walikukomaaaaa,bila shaka uliwapasha wakapashika.
ReplyDeleteUzuri wa waimbaji wa taarab wanavaa mavazi ya heshima
ReplyDeleteupuuzi mtupu!
ReplyDeleteNASIKIA THE COMEDY WAPO UK, WATAPIGA WAPI? MZEE PINTO TUPE HABARI.
ReplyDeleteDada anatunza hapo kidole kimebana dolari hapo mambo yamemchengua hapo kwa taha zake na manjonjo yake
ReplyDeleteHuyo ndio dada lao mtambo wa kupasha watu live mpaka watu wanalia.
ReplyDeleteAhsante dada Lemna kwa kuunga mkono Jahazi.
LEMNA? huyu ni Lemna wa block 41?
ReplyDelete