hawa ni baadhi ya wanachama wa umoja wa madereva taxi uwanja wa ndege wa julius nyerere airport. angalia video na msikilize mwenyekiti wao akilonga kuhusu shughuli zao kwa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. hakuna lolote hawa madereva wa Jk airport ni wezi tu.Nasikia ukidondoka toka majuu ukawakodi wanakuingiza gizani wanakupora kila vihela vyako ulivyobebea boksi

    ReplyDelete
  2. Mh balozi huyo wa kulia Bro wako nini?

    ReplyDelete
  3. jamani sitawasahau hawa watu yani kwanza wana bei ya kitalii,yan bora tu upande daladala au uchukulie tax pale barabarani,ni kweli yan wakijua watoka nje mana wana jua awa abiria now wamedondoka na pipa la wapi,,,utakoma bei
    nilikua naenda yan kiwalani pale bom-bom tu yan nyuma ya airpot ati sh.10,000/km sikosei au 15,000/ heeee ilhali sh 3500/4000 khaaa.yan siku nikirudigi bongo ata niwe na mzigo gani either nawaita ndugu tusaidiane tubebe vichwani au napanda daladala nafika home shwaari au tax za pale nje ya airpot
    hahahahaaaa maisha haya

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...