hi!


smiling faces

kwa miaka 3 sasa imekuwa ikishiriki chakula cha mchana au cha jioni na watoto yatima wa kike katika kituo cha KWETU MBAGALA HOME, lakini kwakuwa mwaka huu ni mwaka wa mwisho kwa watoto hawa ambao mapema mwakani wataanza kurudishwa kwa ndugu jamaa au rafiki wa familia, na wasio na ndugu watatafutiwa watu wa kuwa adapt!


Hivyo tumeamua kuwkutanisha na watu mbali mbali ambao ni maarufu au wana wadhifa fulani katika kampuni shirika au serikali ili kuwajengea taswira ya kindugu na kuwafanya wajitambue kuwa ni watu mihimu sana katika jamii yetu ya kitanzania! watu mbali mbali wamekuwa wakitoa misaada ya chakula, malazi na mavazi, wakifikiri ni msaada pekee ambao mayatima wanahitaji, lakini si hilo tu1 wanahitaji kupoendwa na kujengwa kisaikolojia ili waweze kuwa wananchi wazalendo na wenye kiu ya maendeleo!


hivyo wewe ukiwa kama mtanzania tunakuomba kushirikia nasi katika Jioni maalumu kwa ajili yao katika Ukumbi wa Regency Park hotel, siku ya tarehe 19 december kwa kiingilio cha shilingi elfu 15000/= na laki mbili kwa watu maalumu ikiwa ni msaaada kwa watoto hawa! ni kuanzia saa 2 kamili usiku!

Kwa wale watu maarfu na wanao hitaji maandalizi binafsi! usisite kuwasiliana nasi kwa simu namba 0717514179

or

Martinaloyce@yahoo.com

Tunatanguliza shukrani za dhati.
Martin Kadinda,
Event Coordinator.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. ADOPT, SI ADAPT ANGALIA DICTIONARY KWA URAHISI TU, KWA MAANA YA MBALI YA KISWAHILI PAMOJA NA KUWA SI SAHIHI SANA NI:-

    ADOPT:-

    KUJICHUKULIA KITU
    KUKIFANYA CHAKO KWA
    KUFUATA TARATIBU
    ZILIZOWEKWA

    ADAPT:-

    KUZOWEA HALI
    FULANI/KUJIFANANISHA/KUJIFANYA,
    KWA MFANO MTU UNAWEZA KWENDA
    KUISHI U.K. UKA-ADAPT HALI YA
    HUKO, YAANI UKAZOEA BARIDI KWA
    MFANO, AU UKAENDA ISHI GHETTO
    UKAZOWEA MISEMO YA GHETTO,
    MAVAZI NA MIENDO NA MBWEMBWE
    ZAO. AU UKAENDA ISHI U.S.A.
    UKAZOEA JINSI WATU WANAVYO
    BEHAVE NA MISEMO YAO.

    ReplyDelete
  2. Mhhh? majina mengine? cheki last name hiyo...KADINDA? mbombo jilipo.

    ReplyDelete
  3. WANAITWA,YATIMA SIYO MAYATIMA!!WEWE!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...