Skwadi zima la mwanamuziki nyota katika kizazi kipya cha muziki wa dansi kutoka Kongo,Fally Ipupa likiwa jukwaani
Wageni waalikwa waliofika kwenye pati hiyo ya funga mwaka iliondaliwa na kampuni ya sigara ya TCC kwa ajili ya wateja wake wakilifuatilia kwa makini onesho la Mbilia Bel
Mwanamuziki mahiri katika miondoko ya rhumba Mbilia Bel usiku wa kumkia leo aliwakumbusha wengi hasa wakati ule alipokuwa anawika na vibao kadhaa ambavyo pia aliviimba usiku wa jana kwenye pati ya funga mwaka iliondaliwa na kampuni ya sigara ya TCC iliofanyika nje ya uwanja wa New World Cinema na watu kufurika kwa ajili ya kuwashuhudia wanamuziki hao kutoka kongo.Pichani kulia ni Mbilia Bel akionesha umahiri wake wa kunengua jukwaani mpaka chini na nyuma ni densa wake akimpa tafu.Kwa picha zaidi bofya hapa
Cheki midume ilivyo jaa mbele kwenye show ya Felly , baada ya kuachia mademu wakae mbele yenyewe imejaa na kushangilia hata aibu haioni.
ReplyDeleteKuna kisa kimoja kilitokea India, kuna group la BoyZone ,lilienda kufanya show, sasa Europe na USA kwa kawaida wananaume wana po ku a jukwaani ,screeming fans wanakua mademu mbele kibao, ila ajabu mbele kulikuwa kumejaa wavulana kibao waki scream at the top of their lungs , jamaa walibaki midomo wazi kwa mshangao.
Oooo nakumiss Maghambo le Presidaa mwana wa Fally!!!
ReplyDeleteOyaa wewe anon hapo juu acha hizo, hao waimbaji na wachezaji wenyewe ni kama mademu, of course vitu kama mikorogo na blonde hair etc kama kawa sasa unataka jamaa wafanyeje?
ReplyDeleteJamaaa [wapiganaji] labda nao wanatafuta mdemu? au labda mademu kwa mademu wanatafutana?
Michuzi tafadhari fikisha huu ujumbe acha ubaguzi!
mbili ya beli wamo sanaaa tu.. ndio bibi kidude wa congo huyo.. wanavuma na wamo... lol .. amenivunja mbavu sana na hiyo poziyake kama anataka kuruka.. hahaaaaaaa
ReplyDelete