Meneja Masoko wa Zain Tanzania, Costantine Magavilla akizungumza kwa simu na mshindi wa muda wa maongezi wa sh. 100,000 wa promosheni ya Endesha Ndoto Yako 2 ya Zain Tanzania, Frank Kologati wa Ulanga, Morogoro, jijini Dar leo Desemba 11, 2008. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Zain Tanzania, Beatrice Mallya na kulia ni mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Humudi Abdulhussein.
Home
Unlabelled
muda wa maongezi wa Zain waenda ulanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...