Ibada ya Kiswahili Reading Uk
(NENO JEMA KUMSHUKURU MUNGU NA KUMWIMBIA YEYE ALIYE JUU)

ASKOFU MKUU WA KANISA LA KIINJILI
LA KILUTHERI TANZANIA ATAKUWA READING 25/01/09
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania
Alex Gehazi Malasusa

Ibada ya Kiswahili Reading inayoongozwa na Mchungaji Tumaini Kallaghe, wanayofuraha kubwa kuwakaribisha kwenye ibada ya tarehe 25 Januari 2009 ambayo itakuwa ibada kuu ya kumshukuru Mungu kwa kutuingiza mwaka 2009.

Mhubiri na Mgeni rasmi katika Ibada hiyo atakuwa Askofu Mkuu wa KKKT ASKOFU ALEX GEHAZI MALASUSA
Ibada itafanyika katika ukumbi wa:
Odd Fellows Hall
118B Oxford Road
RG1 7NQ
KUANZIA SAA 9.00 MCHANA (3.00PM)
Ukishuka stesheni chukua basi nos: 16 or 15 kisha ushuke Waylene bus stop Oxford Road
For information:

mchungaji@stanneslutheranchurch.org
Mchungaji: Tel.07983087998/
Aljanes Rwiza(Baba Ian)- 07900008211


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. haya jamani wale wa Reading....nendeni mkasikilize neno la mungu..kama tu vile mnavyoshabikia taarab,majungu,umbea,kuibiana wake/waume...na Mungu pia mpeni nafasi yake.
    X-Reading member,USA

    ReplyDelete
  2. Pamoja na Askofu Malasusa kuhubiri Reading Januari 25, 2009, naomba ujaribu kutafuta kulikoni na tovuti ya serikali ya kuzungumzia masuala yetu hapa duniani (nchini)

    http://www.wananchi.go.tz/

    Kama serikali haiwezi kujibu maswali yetu, iifute kabisa tovuti hiyo!

    ReplyDelete
  3. Heri waombewe hao, maana duh nimejua mengi kama vile niko huko vile, na sijui lipi la kweli lipi na uongo. Huyo shetani aliyewaingilia ashindwe na alegee.

    ReplyDelete
  4. huyu nae siyo yani siku hizi hata dini wizi mtu jamaa hakuna atakaye poa kiama kikikaribia

    ReplyDelete
  5. huyu mshikaji alitufundisha kisarawe, good for him ni askofu sasa

    ReplyDelete
  6. karibu sana baba askofu,,,
    Mungu akutie nguvu na akupiganie katika safari nzima
    uende na uhubiri injili kama andiko lavotuagiza uwasaidie kondoo wa reading
    aleluya

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...