bonanza la muziki na michezo la kila jumapili viwanja vya lidaz klabu kinondoni, dar, limepamba moto. mamia ya wadau hufika kuwaona twanga pepeta na msondo ngoma ambao hutumbuiza bure kuanzia saa tisa mchana hadi 12 jioni wakiwa chini ya udhamini wa kilaji cha kilimanjaro lager. kabla ya hapo kunakuwa na mechi za kandanda za timu tofauti toka kila pembe ya jiji.
Home
Unlabelled
bonaza lidaz klabu laendelea kwa nguvu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...