
The current financial and global crisis has severelyinterrupted the company’s ability to secure furtherfunding for the continued operation of the business.
The company has worked extensively with externaladvisors and all internal resources to investigate,evaluate and analyze strategic alternatives for theCompany to further continue to operate. In determiningto approve the Company's plan of Liquidation, theboard and management carefully reviewed the advice andfindings.
Gateway Broadcast Services, suppliers of the GTVservice to subscribers across Africa has over the last2 years invested a total of US$200 million and createdjobs and competition in the 22 markets. The economiccrisis that has emerged globally over the last fewmonths has caused excessive demands on the business.
With immediate effect the service will be withdrawn.
“Increased instability in global markets interruptedour ability to secure funding on an acceptabletimescale and have left us no choice but to ceaseoperations,” said a company spokesman.
“We realise the negative impact this has had on ourloyal customers, creditors and staff, all of who havebelieved in GTV and the revolution in pay TV it hadcreated. We have tried every possible step to keep thecompany going but we are all the unfortunate victimsof the current global economic crisis.”
Thank you.
source: www.gtv.tv
source: www.gtv.tv
This is indeed sad news.
ReplyDeleteOn the other hand my question to GTV is why didn't you appeal to us the general public who have been patronizing your business?
Had you launched a sincere public relations campaign to highlight your financial difficulties we could have helped (for instance through network marketing to grow subscriber base provided you'd agree to more friendly prices)
Some will criticize that it's impossible for a private company to get public support, but if you are dying and running out of options DO NOT HESITATE TO TAKE EVEN THE MOST DESPERATE MEASURES!
What could be more valuable than survival?
Now all we are left with is DSTV which we have grown to hate.
So long GTV. You'll be missed.
============
PS: Entrepreneurs out there, wake up... there's now a void in the marketplace and the catch is YOU HAVE TO COME UP WITH AN INNOVATIVE BUSINESS MODEL. The Model GTV were using has proven to be unsuitable when the going gets tough.
So come up with a business model that can survive economic downturns.
If you have to operate in a low cost area such as Tanzania rather than UK please do so.
//Fred
http://assenga.blogspot.com/
ReplyDeleteETI! WASHITAKIWE KWENYE MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA THE HAGUE? AU WAHUSISHWE NA UGAIDI WA KIMATAIFA...
FAITH WE CAN BELIEVE IN....
Friday, January 30, 2009
this is total utapeli. No sio utapeli ni unyang'anyi. No sio unyang'anyi ni ufisadi? watoroka na computer kadhaa na fedha zisizopungua milioni moja.
tuma maoni yako kutokana na unyang'anyi huu
katika hali isiyokuwa ya kawaida, baada ya bodi ya mikopo kudokeza bila kutaja majina kuwa kuna baadhi ya wanafunzi vyuo vikuu mbalimbali ndani na nje ya nchi ama wamegushi vyeti au wamepata mkopo au kujiunga na vyuo vikuu kwa njia zisizo za halali ikiwa ni pamoja na kukwepa adhabu zilizowekwa baada ya mwanafunzi ama kurudia mwaka wa masomo (ku-discore) au kufukuzwa vyuo vikuu,mambo yamekuwa sio mambo katika CHUO KIKUU CHA URAFIKI LUMUMBA baada ya wanafunzi mbalimbali kudaiwa kutoroka na mali za wanafunzi wengine ikiwa ni pamoja na fedha taslim (yaani dola). taarifa zilizoifikia The THOMCOM zinasema kuwa baadhi ya wanafunzi walifikia hatua hata ya kujaribu kuwazuia aeroport watekaji nyara hao wa mali za watu bila mafanikio. Baadhi ya mali ambazo zilithobitishwa na The THOMCOM kuchukuliwa ni pamoja na COMPUTER NYEPESI (laptop) na fedha taslim zenye dhamani ya zaidi ya milioni moja. Tabia ya kuazimana computer nyepesi yaani laptop imekuwa ni ya kawaida kwa wanafunzi vyuoni, kitu ambacho wanafunzi hao FEKI walitumia mwanya huo kuazima computer hizo kwa matumizi ya kawaida na kuangalia movie siku moja kabla ya kuondoka kwao. haikufaamika mara moja kama watuhumiwa hao waliondoka kwa pamoja au kila mmoja kwa nafasi yake.
Wanafunzi wanashauriwa kuepuka kukopesha au kuazima mali nyepesi na za dhamani hasa kwa muda huu ili kuepuka adha ya kuchukuliwa mali au kutokomea na deni.....
Wadau... Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa hii,lkn wahenga walishawahi kusema NGOMA IKIVUMA SANA MWISHOWE HUPASUKA!!! ok tuachane na hayo...sasa inakuwa kama zama zileeeee za MONOPOLY system kama nawaona MULTICHOICE... LANGU JICHOOO
ReplyDeleteBalozi wa nanihii umeiona hii mbona hujairusha ............
ReplyDelete"Rais pia alishangazwa na uamuzi wa jiji kuwazuia wananchi kupiga picha za harusi ufukweni, nyuma ya Ikulu na kubadilisha matumizi ya ardhi iliyoachwa wazi.
Alisema wakati fulani alipokuwa anapita katika eneo hilo alikuwa akiona watu wengi na hasa mwishoni mwa juma, wakienda kupiga picha za harusi katika eneo hilo baada ya kufunga ndoa, lakini baadaye akasikia kuwa halmashauri ya jiji imewazuia.
"Siku hizi watu wakioa wasipopiga picha pale baharini wanajiona kama hawajakamilika, lakini baadaye nikasikia kuwa halmashauri imepiga marufuku kupiga picha hapo.Hivi kuna dhambi gani kupiga picha hapo?" alihoji Kikwete na kuongeza: "Hebu waacheni watu wapate raha.
Kama ni suala la kuchafua mnaweza kuwapangia utaratibu wa kufanya au kuwapa masharti, hata kama ni kuwatoza kidogo kwa ajili ya usafi". Aliongeza: "Kuna watu mkiwa serikalini kazi yenu ni kuzuia kila kitu.
Watu wakienda kuogelea mnawafukuza. Namna hii mnawapa watu kimuhemuhe. Mnawabana kiasi kwamba, hawana hata pa kupumulia, hivi ni vitu vidogo tu wapeni uhuru," alisema Rais Kikwete.
Rais pia alieleza kukerwa na uamuzi wa viongozi wa jiji kuwaruhusu wafanyabiashara wa magari makubwa ya mizigo kuegesha katika eneo la Jangwani.
Alisema eneo hilo ni maalumu kwa ajili ya vijana kufanyia michezo mbalimbali, lakini sasa limegeuzwa la kuegesha magari hayo."Hata mimi nilikuwa nikienda kucheza pale, na pale palikuwa pana angaliwa sana wala hakuna maji yaliyokuwa yanajaa, lakini sasa mmeliachia na watu wamelitumia kwa matumizi yao.
Duh! sasa turudi kushabikia Simba na Yanga. Mipira Hamna...
ReplyDeleteMdau eeh, sasa hii si ni kasheshe? mi nimefunga dish lao huu mwezi wa pili, ntalipeleka wapi? Si ndo nimekula hasara hivo tena? mechi tutacheki wapi sasa?
ReplyDeleteHawa jamaa kusema kweli mimi siwahurumii sana, kama ni biashara walikuwa wanaifanya bila kuwa siriasi. Immagine unakuta kama juzi game ya Man United na Westbrom ilikuwa ianze saa tano na robo usiku lakini hadi saa tano na dakika kumi kulikuwa hakuna hata dalili kama wataonyesha alafu hakuna hata wale wachambuzi wa mechi kama ilivyo kwa tv nyingine.
ReplyDeleteKitu kingine hawakuwa na ratiba maalumu, ukiingia kwenye site yao unakuta wameacha baadhi ya masaa blank kama vile hawako hewani wakati kwa kama DSTV kila mwezi unapewa gazeti ambalo linaonyesha kila kipindi watakachoonyesha mwezi huo na hata kama wana mabadiliko ukiingia kwenye website yao unakuta ratiba.
Na mwisho kabisa ile ya wao kuchukua 80% ya haki ya kuonyesha premier league na DSTV kuchukua 20% ilikuwa inatuumiza sisi wateja coz utakuta kuna siku mechi unayotaka kuiangalia iko channel ambayo wewe huna kwa hiyo inabidi uende pub,kama walitaka kuonyesha premier walitakiwa wachukue 100%.
Poleni wote mtakaopoteza ajira.Ila napenda kuwapongeza kwa kuleta mabadiliko ya bei manake baada ya nyinyi kuingia ndio tuliona kushuka kwa bei ya malipo kwa mwezi hadi kufikia DSTV kushusha bei, I hope hawatatupandishia kama ilivyokuwa kwa watu wa mafuta.
Damn! Sad stuff.
ReplyDeleteJana nimeshangaa kukuta ka-message kwenye itv yangu kwamba wanasitisha matangazo,nikachanganyikiwa lakini nikafurahi kwamba sikulipia mwezi wa pilihivyo hasara si sana...ila miundombinu nimelipia na Dish lao litabakia kama ukumbusho wa GTV! Au labda washikaji ni wasanii na wanatumia hii financial crisis ku-justify mambo yao? Exemption ya kulipa kodi imekwisha? cheki mambo kama hayo......
ReplyDeleteHawa jamaa mbona wanaondoka kienyeji hivi halafu watanzania tunawaangalia
ReplyDeletevisingizio vya kutolewa kodi,financial crisis jana tumekula mlo mmoja na baba akatwambia sababu ni financial crisis iliyoikumba ulaya,wizi mtupu!
ReplyDeleteI wish wafanyabiashara kama akina mengi na bakhresa wajiunge pamoja wanunue rights za gtv kwa niaba yetu. jamaa wa DSTV ni wanyonyaji mno, angalia walivyokuwa na nyodo wakati GTV haijaja. wakipewa tena mechi zote za uingereza nawahakikishia kwa mwezi tutachajiwa $200!
ReplyDeleteRonnie nilikushauri hawajamaa matapeli, hawana uwezo.anyway najua utakuwa on the road soon.good luck
ReplyDeleteHao GTV walilkuwa wanachukua chao mapema kwa kutoza gharama za mwezi ambazo ni maradufu kupita kiasi, sasa wameona 'market has reached its peak yaani saturated' wameona bora waondoke mapema maana hakuna ulaji wa kilaini tena.
ReplyDeleteMsikonde wadau wa globu ya jamii, Premier league mechi kati ya ManCity na Stoke imekwisha.
Matokeo Stoke 1 ManCity 0. Bao la Stoke lilowazamisha ManCity ya kina Robinho lilifungwa na James Bettie.
Mdau
jijini kwa wajanja London.
Its so sad to hear that Gtv are no longer there. But its good news to DStv who I think are now negotiating to buy the remainder of the Premier League games at a very very low price. Thank God I did not put Gtv as I knew they are not there to last.
ReplyDeletethis guys r mean why dont they go public i.e. float shres so as to raise capital?
ReplyDeleteSababu ya global economic crisis ni ya msingi na ni kweli kabisa hawa jamaa wamesitisha huduma zao kwa sababu hiyo(Kumbukeni ile ni kampuni ya UK,ambao wameathirika sana na hii economic depresion). Kuhusu kucharge low price si kweli. Shilingi 46500 si low price,hapa ndipo ninapowashangaa watanzania wenzangu.DSTV wanakiuka sana taratibu za ufanyaji biashara nchini na TUME husika imewafumbia macho. Kwa Tanzania ni kosa kufanya biashara ukiwachaji wateja wako kwa dola. Wao kwanza wanatunyonya sana Gharama za DSTV kwa South Africa ni chini ya dola 30 kwa channel zote,ukilinganisha na hapa,uliza wanaotumia DSTV watakwambia wanavyoumia na kupanda kwa sasa kwa US $.G walikuja na sera angalau nzuri na waliweza kupenetrate soko hili na kuilemea DSTV kiasi kwamba waliwanyang'anya wateja wengi sana wa DSTV.Kwa nguvu ya soko waliokua nayo hapa ni sawa na nchi zote walizaokua wakifanya biashara. Na mkumbuke (Nyie mliotoa maoni eti low price ni sababu ya kusitisha biashara Bongo)hawa jamaa waliteka soko la Biashara ya Paid channel kwa kiasi kikubwa sehemu kubwa ya Africa,ukitoa South Africa ambapo walishindwa kucompete na DSTV kwa sababu ya sheria za SA.Pia mkumbuke kwamba jamaa walifanya research ya kutosha kuhusu soko la television hapa africa wakagundua ni biashara ambayo ndio kwanza inaanza kukua.DSTV wenyewe nalianza mwaka 1995 biashara hii kwao huko SA,soma zaidi kwenye hii link kuhusu iliyokua mipango ya GTV
ReplyDeletehttp://mybroadband.co.za/news/Telecoms/870.html
Get well soon GTV otherwise we'll be missing u
I'm trying to think what should be the next step in getting my favorite footbal matches my bongo get stuck! What should I do now?
ReplyDeleteThere is no easy answer coming.
At THE END OF THE DAY I'M TRYING TO BELIEVE THAT VERY SOON WE WILL BE GETTING ANOTHER PROVIDER!
GOD WILL STAND ON OUR SIDE!