
Lakini tofauti moja kubwa ya Jennifer na wanamuziki wengine wa muziki wa injili ni kwamba yeye pia ni mtunzi mzuri wa hadithi za filamu.Baadhi ya filamu alizowahi kutunga ni kama vile Pigo la Faraja, Joto la Roho na Teke la Mama.
Nenda Bongo Celebrity umsome Jeniffer
Aleluhya babes!!!tikisha tikisha chakacha!!!
ReplyDeleteHongera sana da Jeniffer,nyimbo zako za dini nzuri sana keep it up.Mungu akubariki.Ameshaolewa huyu dada?mwenye taarifa tafadhali.Nataka kurusha nyavu zangu.
ReplyDeleteKila la kheri sis nyimbo zako nzuri zinafariji sana hongera sana!
ReplyDeleteKeep it up a good work Jennifer! God bless you na endelea kumtukuza Mungu!
ReplyDeleteJeneffer, you are so beatiful, nice looking and attractive showing that you are real filled with grace of God. Keep it up with your Evangelism!! Let no one shake you. Let our AlMighty God Bless you for ever!!!
ReplyDeleteMdauzzzzzzzzzzz
eshaolewa longi wee annon ana watoto,,,kwa kumalizia amekula nondoz za kufa mtu utaweza??
ReplyDeleteannon wa kwanza hahahahaaaaa iyo tuiiteje mchiriku,segere,taarabu,ndomboro??
ila yu gospel singers dont confuse us with "the world" ndomboro zimezidi zimetoa utukufu/no upako at all...jaman kwani lazima tuige kila kitu??chetu wenyewe si kizuri?
CHANGAMOTO