
Shabeen Ent.na Luke Music Factory inakukaribisha kwenye ufunguzi rasmi wa Los Arrieros Club siku ya ijumaa january 9/2009,hapo mjini Silver Spring.
Hili ni jibu la kilio cha muda mrefu cha wapenzi wa burudani wa Afrika mashariki wa Washington Metro Area kua na Club itakayo wakutanisha na kwa mara ya kwanza,mwaka mpya na mambo mapya.
Djs watakua Joe aka Cat Dady wa 93.9 fm na Dj Luke. Mazungumuzo yanaendelea vizuri na Djs Banti (Kenya), Mondy(Uganda) ambao wamekubali kuwepo siku ya ufunguzi january 9.
Karibuni wapenzi wa bongo flava, genge na Luganda mpate burudani, msuuze roho zenu kwa muziki safi na maDj magwiji Afrika mashariki wa Washington Metro Area
address ni
7926 Georgia Av,
Silver Spring
Md 20910
tumezeeka siku hizi maraha subiri watoto wetu wakue
ReplyDelete