Hello Mkuu Michuzi.
Natumaini hajambo na unaendelea na libeneke kama kawaida.
Natumia muda huu kukuomba kunitangazia blog yangu mpya hii iitwayo Wabongomeet
Natumaini hajambo na unaendelea na libeneke kama kawaida.
Natumia muda huu kukuomba kunitangazia blog yangu mpya hii iitwayo Wabongomeet
Nimechukuwa jukumu hili la ku-blog kama ufanyavyo ili niweze kuwasaidia watanzania wengine kupata nafasi ya kuungana katika kutafuta marafiki na hata wachumba popote duniani. Hakuna binadamu perfect, natumaini kwa nyie wazoefu wa ku-blog mtakuwa tayari kubadilishana mawazo na wale wanaoanza shughuli hii.
Ninajivunia kwa hili (ingawa mie bado mchanga katika blogging) kwa sababu mimi binafsi nili-immigrate kutoka Arusha kuja hapa nilipo baada ya kukutana na mme wangu miaka 6 iliyopita kupitia cyber-love. Na mpaka sasa hivi bado niko katika ndoa na nina mtoto moja.
Nitashukuru iwapo utafiria ombi langu. Vilevile nimeweka link ya blog yako kwenye blog yangu. Naamini hii ni njia mojawapo watu wanaweza ku-network kupitia blog mbalimbali.
Natanguliza shukrani.
Josephine M.
Nitashukuru iwapo utafiria ombi langu. Vilevile nimeweka link ya blog yako kwenye blog yangu. Naamini hii ni njia mojawapo watu wanaweza ku-network kupitia blog mbalimbali.
Natanguliza shukrani.
Josephine M.


Big-up JOSEPHINE
ReplyDeleteKaka Michuzi nashukuru sana kwa kusikiliza maombi ya kiwekea tangazo kwenye blog yako.
ReplyDeleteHusijesita kunipa ushauri anytime nitakapohitaji especially kwenye blogging.
Nashukuru sana kaka yangu.
libeneke la wachumbaaaaaaaaaaaaaa.....
ReplyDeletemsiwe sasa mnatuzingua humu kwa michuzi...okeeeeeeeee
mi namtaka mashaka tu!!!!
BIG UP josephine!