1. Manchester United 21-14-5-2-24-47-2
2. Liverpool 21-13-7-1-22-46-3
3. Chelsea 22-13-6-3-29-45-4
4. Aston Villa 22-13-5-4-13-44-5
5. Arsenal 22-12-5-5-13-41-6
6. Everton 21-10-5-6-4-35-7
7. Wigan Athletic 22-9-4-9-2-31-8
8. Hull City 22-7-6-9-13-27-9
9. Fulham 19-6-8-5-4-26-10
10. West Ham 21-7-5-9-4-26-11
11. Manchester City 21-7-4-10-9-25
Hapo kuna wanaoomba kitokee kitu ili ligi iishie hapo.... mambo bado watani!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. mliobaki gombeeni nafasi ya pili na ya tatu sasa !
    Ligi imekwisha hiyo ,mwakaaaani !

    ReplyDelete
  2. Roho itakuuma sana.Timu yako na inayoongoza zimecheza mechi sawa.Hivyo kuongoza kwao Man United ni on merit.Sio kwa wewe kucheza mechi pungufu.Ligi haitaisha hivyo kwani utaporomoka na kuwa wa 3 au wa 4.Huna ubavu wa kubaki hapo juu kwa muda mrefu.Habari ndio hiyo.Na kocha kageuka Bensiski wa Simba pressure imemshinda anataka kukitoa.Kakumbuka shuka alfajiri kwani masuala ya wachezaji alikuwa anashughulikia nani??Au ndio kama bongo anaingiliwa kupanga timu???

    ReplyDelete
  3. KAKA MAN U TUMEZOEA MANENO MANENO KWA TAARIFA YAKO TUSHAITWA HADI LIPULI LAKINI BADO TUNASONGA. NA KIBYA KILICHOFANYIKA KUTURUSU SISI KUWA HAPO JUU HATUTOKI MPAKA LIGI INAISHA KWA TAARIFA YAKO TUU USIMWAMBIE MTU MWINGINE TUNAMCHUKUWA KARIMU BENZEMA DIRISHA DOGO HABARI NDIO HIYO

    ReplyDelete
  4. Aaaah, kwani hujui hilo?ligi imeisha hiyo, baba mwenye nyumba karudi juu, wapangaji mtafute pa kwenda tu.

    ReplyDelete
  5. Taniboi huwa anamsaidia Dereva kuendesha lakini kamwe hawezi kumbadili dereva atabaki na utani boi wake tu.Bwawa la Maini ni taniboi tu.

    ReplyDelete
  6. Mbona hii ligi ndio itakavyoisha na Benetiz atajiuzulu kwa kudai kwamba hakupewa fungu la usajili wa January.

    Kazi ipo Kesho J'Tatu mtakapo anza kutoa macho na draw yenu kwa Everton.

    ReplyDelete
  7. Yakhe mdau uliotundika huwoo msimamo, mboni mie naona ni kitu kituko miee.

    Mana sioni aliye wa kwanzaa, ManUtd inaonesha kuwaa ni ya pilii, Liverpool ya tatuu na chelskii ya nnee?!!

    Wa kwanzaa sasa ni yupii?

    Mdau
    Pemba.

    ReplyDelete
  8. Mimi nina kaswali, hivi mchezaji bora wa dunia anachezea timu gani?

    ReplyDelete
  9. Haya sasaaaaaaaaa... Liverpool mshadro na Everton, yaani njia ni nyeupeee kuelekea kwenye ubingwa... Man U juu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...