Home
Unlabelled
mavituzzz ya nathan mpangala
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapo ni kazi kweli kweli. Mzazi naye anaangalia tu mtoto anatekea hivi hivi?
ReplyDeleteNakubaliana na wazo la Mpangala. Wazazi wanachangia sana uharibifu huu wa watoto.
Tunahitaji mabadiliko.
masikini watoto wa kike kwa kuwindwa huko ndio maana akifika chuo kikuu anakua ameshatoa mimba mbili tatu,joe makini anawaita bikra wa bongo
ReplyDeleteIt is so funny but sad. Nakumbuka nilivyouka nasoma primary thanks God nilikua na mwili mdogo usiokua matiti yalitoka nikiwa form IV lakini rafiki yangu nakumbuka yule mwalimu alikua anmfuata sana. Tulienda kutmbelea mbuga za wanyama yaani trip yetu ilikua kazi sana. Kila dakika anamuita njoo huku, njoo huku sijui alijipatia kitu manake siri ya watu huwezi jua.
ReplyDeleteTatizo la mzazi wa Africa ni vile walivyo wakali na hawana mawasiliano na watoto ya karibu. Unaweza kumwambia baba yako kuwa Mr so and so ananiambia hivi badala ya baba kusikiliza unaishia kuashibiwa wewe na kuambiwa wewe ndio mbaya. Na hapo huji kuwa dingi wako naye anasumbua rafiki yako au mtoto wa jirani.
Inasikitisha sana kuona mambo kama hayo na ni kweli yapo.mademu wote waliojaa lakini kufuata wanafunzi,hivi ile sheria ya kufungwa miaka saba for kujaza mimba mwanafunzi bado ipo??!
ReplyDeleteYaani hii ndiyo adha ya mtoto wa kitanzania haswaaa!! Hongera Nathani kwa kutoa katuni hii yenye ubunifu wa hali yajuu! Halafu namshangaa JK nae anashabikia mabazazi ati anawatetea kuwa watoto wana kimbelembele! Hivi Rais hajui def. ya mtoto? Kwa nini kama ana akili timamu hawaruhusu under 18 kupiga kura lakini kuwabaka/ngono ruksa! Jogoo na binadamu nani zaidi? USHAWAHI KUONA JOGOO AKIZENGEA VIFANRANGA?? UPUUZI WA MABAZAZI NA WIIIIZII MTUPU! ACHENI WATOTO WASOME
ReplyDelete