Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akiwa na Miriam Odemba ambaye ni Miss EARTH AIR 2008 Kushoto kwake ni Maria Sarungi Mkurugenzi wa Compass Commucation Company ambaye ni mratibu wa mshindano hayo ya urembo yaliyofanyika Manila Philipines na Odemba kuibuka kuwa mshindi wa pili na kutunukiwa tuzo ya MAZINGIRA. Hafla hiyo ilifanyika ofisi za WAMA Leo. Picha na mdau Juma Kengele wa Ikulu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. Maria amekuwa mdada sasa,nakumbuka mara ya mwisho nilimuona wakiwa Pwani(sarungi as RC CR).
    thankx for sharing

    ReplyDelete
  2. Hallo Maria, hongera sana, keep it upo kuna siku utashangaza dunia, ila mbona umebadilika sana? umekata nywele kwa joto nini? maana joto letu hapa soo, pole sana but hongera kwa kazi nzuri

    ReplyDelete
  3. inabidi watu wote wa mashindano hapo bongo wamuinge sarungi

    watu wake wanafika mbali kwenye mashindano. inaelekea anautaalamu wa mashindano ya kimataifa..unamkumbuka flaviana na huyu wote wanaenda mbali . sio wale watu wengine wao watu wao wanaowachagua ni kusindikiza tu kila siku

    ReplyDelete
  4. Balozi exraordinary and plenipotentiary Michuzi, Naomna ukimwona JK mwambie lini ataongea na Bunge kuruhusu pasi mbili, nachoka koumba viza kutembea nchini kwangu, pia nataka kununua ardhi ili nijenge kibanda changu. Shukurani.

    Bingwa wa Kusambangalanga Mavituz na Mikonoz ya mademuz

    ReplyDelete
  5. Miriam Odemba naona mambo ya urembo sasa naomba yafikie mwisho. It is time sasa ya wewe kuwa mama na ukalee familia. Mambo ya kuendelea tu kuwa miss mpaka lini? You seem old and you deserve to be housewife. Nadhani vijana it is high time sasa kwenda kupeleka posa kwa Odenba ili aolewe.
    Mdau

    ReplyDelete
  6. @ 3:59 am wewe umeolewa au kazi kusema wenzenu.

    Mwache ainjoy life siku ikifika ataolewa. Wewe ni ndugu yake na kama sio inakuuma nini?

    ReplyDelete
  7. Wewe unaesema Odemba akaolewe mbona unakuwa kama kajogoo ka kienyeji?? Kule kando ya ziwa tunaamini kuwa kajogoo ka kishenzi kakiona hata kifaranga kimependeza tayari kanataka kuoa.
    Mwacheni Odemba ale nchi

    ReplyDelete
  8. Maria Odemba ana bahati kweli; nywele zake zinakua; kama uyoga!

    ReplyDelete
  9. Ale nchi na atazaa watoto lini? It is her prime age kuwa na watoto na kuitwa mama. Mambo ya urembo awaachhie chipukizi. Ameshapitwa na wakati. Anatakiwa aingie kwenye kundi la akina mama wenye familia. Shauri yake ngoja aendekeze mambo ya urembo na baadaye akishazinduka kutaka kuolewa tayari yuko kwenye 35-40 na ndiyo basi tena. It is a free advice lakini ninyi akina anonymous mnaoumpa courage haya shauri yake?
    Mdau

    ReplyDelete
  10. Jamani wadau ebu nipe jibu huyu Maria Sarungi ndiye yule aliyesoma LAKE SECONDARY -MWANZA alikuwa na dada yake walikuwa wanakaa Mwanza (city rock) sehemu fulani inaitwa Ghana..?kama ni YEYE BASI KABADILIKA SANA ALIKUWA MTOTO BOMBA SANA PALE LAKE MBONA KACHOKA MAPEMA MTOTO WA JUZI JUZI APASWI KUWA HIVYO ...LAKINI YOTE MAISHA MUHIMU UMEPANDISHA CHATI UNAKUTANA NA MAMA JK. MAISHA YANAENDA.
    Mdau wa Lake(Furniture centre)
    Kasikoga-Sweden

    ReplyDelete
  11. we anony wa 9.32pm aliyekwambia ukimbilie kutafuta karatasi la ulaya nani?.. ndo nyie-nyie wajinga eti kwa kuwa mmefika ulaya basi mnakimbilia kuoa vikongwe mkipata permanent visa mnakimbilia kuchange passport

    michu hakuna kufikisha ombi lake kokote ye si aliukana utanzania sasa muache aonje joto la jiwe
    na una bahati hujasema uko nchi gani coz nigechonga na visa ya kuja bongo wakunyime

    mshamba mkubwa wee wa sivimbi

    ReplyDelete
  12. Hongera sana Miriam Odemba.Jamani wadau swali ambalo najiuliza kila siku ni kwamba mbona hawaongelii kuhusu umri wake hata kidogo.Na kawaida warembo wengi wakishiriki haya mashindano ni lazima waonyeshe umri cha ajabu kwenye blog zote hata newspapers hamna any mentioning her age.Huyu ameanza mashindano ya urembo miaka ya 1994 na kipindi hicho she was 14-16 or something na ukipiga mahesabu ya haraka she is 28 maximun 30.Halafu cha kuchekesha zaidi in one of the Tanzanian magazines ya this month eti amesema she was born in 1983,so does that mean she was 11 when she first started this thing in 1994.
    In short nakubaliana na wadau wachache hapo juu ni kwamba huyu dada umri umeshaenda.

    ReplyDelete
  13. Anony 1:06.
    * Kwanza hunifahamu, usiropoke tu.

    * Pili,Sina pasi ya Ulaya ila ya Kanada. Sijaipata kimagendo. Nimeomba viza hapo hapo Bongo na nikapewa. Mtu yoyote mwenye elimu ya chuo kikuu, historia ya kazi ya miaka mitatu na dola elfu kumi anapewa viza ya kuishi Kanada akiomba.

    * Tatu, sijaowa kizee, ila kijana mwenzangu na si mgeni. Kama nimeoa kizee au kijana sijui hii kwa nini iwe biashara yako ya kujali. (Kwa Kiingereza ni "None of your Business" .

    * Nne, Nilipoandika kwa Balozi Michuzi, nilikua natania. Unajua maana ya sense of humour? Tabia ya Uchekeshi.

    * Tano, mambo ya kutishana yameshapita, sasa tuna kitu kinaitwa Demokrasia. Huna ubavu wa kunipinga nisije nyumbani kuona familia yangu kwa kutumia pasi ya Kanada. Mwenye ubavu huo ni Serikali peke yake.

    * Sita, Pasi yangu ya Tanzania sijaichana wala uraia kuikana. Kutumia pasi mbili Tanzania si ruhusa kwa sasa lakini swali hili linazungumziwa ili turuhusiwe tuwe na pasi mbili kihalali kama nchi nyingi duniani sasa. Kwa hivyo natumia pasi ya Kanada kwa usafiri ili niweze kurudi na kusafiri ulaya bila ya kuomba viza.

    Jibu langu la kwanza lilibanwa. Nategemea utapata jibu hili.

    Aluta Kontinua.
    Mdau Anony 9:32

    ReplyDelete
  14. wewe uliesema Miriam akifika miaka 35 au arobahini hato olewa unachekesha sana.
    uzuri alio nao na anavojiheshimu hata akifika miaka 50 wanaume watatowa posa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...