
This is the kind of car the president –elect turn president will be driven Shortly after taking the oath of office, Obama will climb into the Mother of All Hybrids -- part car, part truck and, from the looks of it, part tank.
/01/06/driving.obama/index.html
mdau bantu
.jpg)
UNCLE MICHUZI HII NDIYO NDINGA ATAKAYO PANDA MH:BARACK OBAMA SIKU YA KUKABIZIWA MAJUKU YA NCHI YAKE,IMETENGENEZWA MWEZI HUU WA JANUARY NA MWAKA HUU 2009!
WABONGO TUNAMTAKIA KAZI NJEMA NA AFYA NJEMA,
NDIMI MDAU WA BLOG YAKO
PHILY KILUSUNGU.
poleni ndugu zangu gari atakayo panda obma ikusaidie nini .ununapata wakati wa kufikiria ni vipi ndugu na jamaa huko vijijini wanmudu maisha ya kila leo na hali zao zilivyo kimaisha?
ReplyDeletehio nayo pia kwani akishajua wanamuduje maisha itamsaidia nini??MDAU ASANTE KWA PICHA NA HABARI TAARIFA FUPI MAFISADI WA BONGO UNAWEZA KUSHTUKIA WASHALIENDESHA HILO TANGIA TAR 01 JANUARY 2009 KABLA YA MHESHIMIWA OBAMA
ReplyDeleteMIJITU MINGINE BWANA KWELI HAINA KAZI NA NI MILIMBUKENI,YAANI LENYEWE LIMEPOTEZA MUDA WAKE,ETI ILI NDO GARI ATAKALOPANDA OBAMA,NA LIMENG'WENYE NG'WENYE MWEZI HUU NA KUNYU KUNYU MWAKA HUU,SASA NDO NINI,GARI ATAKALO PANDA OBAMA WEWE LINAKUHUSU AU KUKUSAIDIA NINI?,YAANI MIJITU MINGINE UTASEMA HAIISHI UKU DUNIA YA KWANZA KWA ULIMBUKENI WAO,YAANI OBAMA MMEONA ISSUEEE,KILA KTU OBAMA OBAMA OBAMA,TUAMBIE BASI NA CHUPI ATAKAZOKUWA ANAVAA.
ReplyDeleteTUNASHUKURU KWA PICTURE,MIJITU MNGINE BWANA KUTOKANA NA MATATIZO YAO INAHASIRA NA KILAKITU KAMA UTAKI USIANGALIE IYO PICHA KWANI LAZIMA UANGALIE FUMBA MACHO KWANZA HAJAKUWEKEA WEWE, NAMALIZIA NA KISIFA......... WE
ReplyDeleteJamani mbona OBAMA alivyoshinda urais hakuwasemea mbovu wapinzani wake kina HILARY CLINTON,MC CAIN??? KAMA HAYA MANDINGO ANAYOTUONYESHA SASA HIVI HUYU MWANAMAMA WA USWAHILINI(GHETTO)MSOMI WA UWT MAMA LION????
ReplyDeletenimekua nikishangazwa saana na wadau katika hii blog wanavyo muenzi mr obama na ninajisikia vibaya ni kiasi gani ndugu zangu watanzania wasivyo weza kujua mambo na kuweza kufunuliwa kuhusu hawa wa bwana ukimuincludi huyu ndugu obama. nitapenda kutoa just kidogo kuhusu huyu ndugu na kuomba watu waache kuona kama huyu bwana ni mesiah, huyu bwana amewekwa na hawa jamaa wanao jiita illuminati ilikuja kupevu way kwa ajili ya huyo antchrist na atafannya kama anavyo ambiwa na hao wakubwa wake na hilo litaanza kufanyika soon atakapo ingia madarakani kuendeleza pale mr bush alipo ishia so huyu bwana atakua mbaya kama mwiba let wait and see
ReplyDeletethanx kwa leo
Asante sana mdau kwa kutuletea hiyo picha ya Mkoko wa Rais wetu mpendwa wa dunia aliyetutoa kimasomaso na sisi weusi tuonekane watu katika watu. Hilo gari lina thamani ya US$644,000. na lina uwezo wa kufanya kila kitu kasoro kupaa tuu ndio nadhani haliwezi.
ReplyDeleteHuyo anony wa hapo juu mshamba kweli we kama Obama hana maana kwako usituletee mihasira yako hapa watu na furaha zetu za kumpongeza Obama kwa kazi nzito alizofanya na atakazofanya.
HONGERA OBAMA.
Mdau
Melbourne - Australia.
nimekua nikishangazwa saana na wadau katika hii blog wanavyo muenzi mr obama na ninajisikia vibaya ni kiasi gani ndugu zangu watanzania wasivyo weza kujua mambo na kuweza kufunuliwa kuhusu hawa wa bwana ukimuincludi huyu ndugu obama. nitapenda kutoa just kidogo kuhusu huyu ndugu na kuomba watu waache kuona kama huyu bwana ni mesiah, huyu bwana amewekwa na hawa jamaa wanao jiita illuminati ilikuja kupevu way kwa ajili ya huyo antchrist na atafannya kama anavyo ambiwa na hao wakubwa wake na hilo litaanza kufanyika soon atakapo ingia madarakani kuendeleza pale mr bush alipo ishia so huyu bwana atakua mbaya kama mwiba let wait and see
ReplyDeletenimemnukuu jamaa kwa sababu tu ukweli ni kwamba hawa jamaa huwa wanakuwa wanapelekwa wenyewe tunaona ata hapa kwetu tulisema wenyewe fulani mzurii fulani mzuriii lakini lakini si mnaona mambo yenyewe kila siku mafisadi kwa hiyo tusishangae kubadilika kwa muafrika mwenzetu linawezekana hilo swala tena kwa sisi wenye ngozi hii (black ngozi ngumu) mapema kuonesha makucha nisiseme sana tuwe kimya tuangalie utandaji wake hapo baadaye wadau mada mezani.
Mimi napenda kumshukuru mdau wa blog hii ya jamii kwa kutupa picha hii ya gari atakalopanda Obama. Wadau mnaokosoa ni hiari yenu lakini lazima tukubali kwamba kazi mojawapo kubwa ya blog hii ni kuhabarisha na habari haichagui - information is power and knowledge.
ReplyDeleteKWELI UKUBWA WA KICHWA SIO WINGI WA AKILI.
ReplyDeleteSasa wadau nini maana ya blog/glob ya jamii?
sio sehemu ya kupotezea muda bali ni chombo cha mawasiliano ambapo watu wanapata kujua yanayotokea ulimwenguni.
Kijijini,Mjini,Amerca,Asia,Europe na kwingineko,so watu wazima na akili zenu mnadhani kuwa blog ya jamii ni kukupasha yanayojiri bongo tuu?we unayetaka mtu ajue kijijini wanaishije mbona wewe huonyeshi mfano?toa mada yako au picha za kijijini kuhusu jambo uone kama watu hawatachangai au kuguswa nayo.hii sio hi5,facebook au nyinginezo.
Kama ulipitia shule yote uliyoyasoma yamekusaidia nn?maana kuna history pia ambayo inawezakuwa na manufaa kwako au isiwe na manufaa.
Jamani wadau msiwe kama Benitez teh teh teh teh teheeeeeeeeeee
MICHUZI HAYA NDIYO NINAYAITA MAMBUMBUMBU SASA UNAFIKIRI WATU TULIO ENDA SHULE NA KUMALIZA CHUO KIKUU MUZUMBE UTATUDANGANYA HIYO GARI AMA NDINGA HAIWEZEKANI IKATENGENEZWA KWA MWEZI MMOJA ETI IMETENGENEZWA JANUARY 2009? PUNGUWANI KABISA WEWE MIMI SIPO MAREKANI LAKINI KWA TAARIFA YAKO MAREKANI INATABIA YA KUTENGENEZA GARI MUPYA KILA BAADA YA MIAKA MINNE KWA RAIS WAO NA HUWA INAANZA KUTUMIA SIKU YA PARADE YA INAGURATION SASA WEWE SAVIMBI SIJUI HIZI HABARI UMEZIOKOTA WAPI? NADHANI UMELEWA NA BOX
ReplyDeleteYeah gari hiyo safi(Cadillac) kitu kizito hicho lakini si kweli kwamba gari imetoka january 2009 hizi gari naziona kibao mjini Moscow na St. Petersburg wanaendesha vijana wadogo tu na watu wa kawaida tofauti ni kwamba hiyo gari ni "limo" na imetengenezwa for special order ikizingatiwa usalama na kila kitu.. lakini gari kama Cadillac kwa watu wenye nazo siyo kitu cha ajabu...
ReplyDeleteLast time bongo nimeona gari kama hiyo (Cadillac CTS ) alikuwa anaendesha kijana wa kihindi...
Mdau wa Samara (Russia)
By Caroline Wafula, Citizen Correspondent, Nairobi
ReplyDeleteKenyans have criticised the planned trip by State officials to attend a party for the inauguration of Barack Obama as US president.
They are angry that the delegation is spending taxpayers' money on the unofficial party at a time when millions are staring starvation in the face.
Former assistant minister Kalembe Ndile says the officials should not misuse taxpayers' money to travel to the US, yet they will watch the ceremony on television sets from their hotel rooms.
Mr Ndile caused a stir at the Foreign Affairs ministry yesterday after he forcefully donated a 21-inch television for the top officials to use to follow proceedings at Mr Obama�s inauguration next Tuesday.
However, his gesture was not received well as his "donation" was rejected. The former Kibwezi MP was also not allowed into the building with the gift. None of the ministry officials was willing to take the TV set, with the minister, his assistant and PS not available to receive it.
A ministry official, identified as a Mr Waithiru who came out to speak to Mr Ndile said he had not booked an appointment to "make the donation."
But this did not stop Mr Ndile from proceeding with his mission.
He left the television set, which he claimed to be from his sitting room, at the building's door. "Why should we fund a delegation when it has been made clear that only our ambassador in the US is invited?� the former MP asked.
The American embassy in Kenya last week said that only chiefs of diplomatic missions in Washington DC and their spouses will represent their countries at the function.
US envoy Michael Ranneberger said this was in keeping with past practice in the country. Kenya will be represented by its representative Ambassador Peter Ogego.
Foreign Affairs minister Moses Wetang'ula later said that he would lead a non-official Kenyan delegation to Washington.
But the team of ministers and MPs will only attend a grand celebration party on the eve of the inauguration and not the main event.
Among those in the delegation are ministers Najib Balala, Anyang' Nyong'o, Hellen Sambili and Deputy House Speaker Farah Maalim.
It is not yet clear how much the Government will spend on the trip for flights, hotel bookings and the delegation's upkeep.
Anon wa January 17, 2009 2:18 PM, Umeeleza vizuri sana ndugu yangu maana UFAHAMU WA HAWA VIUMBE WENGINE NI MDOGO MNO HAWAJUI MAANA NZIMA YA BLOGU HII YA JAMII JAPOKUWA BALOZI MICHUZI YEYE ANAWEKA YANAYOJIRI SISI NDIYO BLOGU WENYEWE BILA SISI HABARI ZITATOKA WAPI? SASA WEWE ANON UNAYEONA HIYO HABARI HAINA MAANA RUKA SOMA HABARI NYINGINE HAKUNA ATAKAYE KUSHIKA SHATI LKN UKILETA ZAKO LAZIMA TUKUOSHEE KINYWA SASA BASI
ReplyDeleteHUYU JAMAA KATUMIA KABISA MUDA WAKE AKATULETEA HABARI HII YA GARI YA OBAMA NA WEWE UKATUMIA KABISA MUDA WAKO WA MAANA KAMA UNAVYOUONA WEWE UKATAZAMA PICHA UKASOMA MAELEZO HALAFU HAIKUTOSHA NA UKAONGEZA MUDA KUTOA MADA YAKO SASA WEWE NA HUYU ALIYEPOST HII MADA NANI MPUUZI?
Asante ndugu kwa kutuonyesha gari atakolopanda raisi Obama. Mwenye donge shauri yake Kwani kalazimishwa kuliangalia hilo gari? Fanya kazi na hao ndugu ndio utaelewa maana yake nini kuwa na furaha kuliona tu hilo gari atakalopanda Obama. Ukikipata kitumie ukikikosa kijutie. Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi. Kasome vitabu vya historia.
ReplyDeleteHamna mtu mwenye donge..sawa bwana..
ReplyDeleteHuyu Obama atakuwa raisi kama wengine tuu...hana chochote cha ajabu. Sijui ataleta nini huku Marekani zaidi ya ku legalize gay mariage and abortion.
"HE IS TRULY AN ANTI-CHRIST"