Home
Unlabelled
tai ya obama
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyu mzee amefanana sana na Mhe Mrema Lyatonga, wakati ule alipokuwa akitingisha Bongo Land!!!!!
ReplyDeleteSijui ni Tai yenyewe, ilivyofungwa, mvaaji, mpiga picha, camera au position...lakini something is not right...tie inaonyesha kama imemvaa si yeye aliyeivaa...!! Hongera bwana..!!
ReplyDeleteMtabakia hivyo hivyo na Tai ya Obama
ReplyDeleteMzee ana sura ya kiduwanzi ile mbaya..!!
ReplyDeleteMichuzi bwana acha utani, huo u-pedeshee uko wapi hapo jamani keh!
ReplyDeleteHamna kasoro yoyote na tai au uvaaji wa tai hiyo, imekaa perfect kabisa.
ReplyDeleteHuyu mzee amependeza sana, tena ni mfano wa kuigwa na hasa kwa wale wenzangu na mimi tusiopenda kunyosha nguo zetu (pasi!!!) huyu anafaa kabisa kuwa afisa wa elimu ili wanafunzi waiige mfano mzuri wa kunyoosha nguo zao (pasi!!!!)
ReplyDeleteongera sana, naona hata wafanyakazi wa bank donge limewashika.
Mdau - united of king dom!!!
huu mtindo wa kujaza makolokolo kwenye mfuko wa shati unanikerebisha get it rite old fella
ReplyDeleteObama amesha sema msitegemee sana toka kwake kwahiyo kazi kwenu jipendekezeni lakini juhudi na jitihada mzifanye wenye
ReplyDeleteDingi amekolea, lakini inaoneka ni mtu wa masanga kichizi, tazama uso ulivyo kongoroka. Pia hicho kitambi chake cha uji wa ulezi ni burudani, na jinsi alivyofunga mkanda, inaelekea ni moto chini. Anyway, ametoka chicha ila pozi mgogoro.
ReplyDeleteKwaheri.
FITINA MCHANA
huyu mzee ilitabasamu lake ni matata mmh!! Waziri wa mambo ya ndani mpe kazi ya ukamnda wa dsm majambazi na mafisadi wakome!!!!
ReplyDelete"jinsi alivofunga mkanda inaelekea moto chini"annon 3.16pm
ReplyDeletehahahahahaaaaa teh teh teh kwi kwi
dah wee annon ulosema ivo u make my day dah!!
hahahahaaaaaa,sasa ndo nini wee michu ulimlipa ngapi kwa pozi ilo?