Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Dk. Florens Turuka (aliyevaa suti) akiangalia jinsi magazeti ya Daily News na Habarileo yanavyoandaliwa kwa ajili ya kuchapishwa wakati alipotembelea kiwanda chao cha magazeti kilichopo eneo la TAZARA jijini Dar

Meneja wa Uchapishaji wa magazeti ya Serikali (TSN) John Mcharo akimuelezea Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Dk. Florens Turuka (aliyevaa suti) jinsi magazeti hayo yanavyoandaliwa kwa ajili ya kuchapishwa wakati alipotembelea kiwanda chao cha Uchapishaji kilichopo eneo la TAZARA jijini Dar

Mhariri wa Makala wa Gazeti la Habarileo Oscar Mbuza akitoa Maelezo jinsi wanavyoandaa makala mbalimbali kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Dk. Florens Turuka (aliyevaa suti) wakati alipotembelea Ofisi za Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) zilizopo mtaa wa Samora jijini Dar



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Kaka Michuzi. Shida yangu haihusiani na picha. Nipo Marekani. Nimepata taarifa sasa hivi kwa njia ya sms kuwa kuna ajali mbaya imetokea eneo la Kimara leo jioni(ijumaa) na kuua watu kama 20 walokuwa kwenye daladala. Naomba updates kama unazo maana niliongea na mtu alokuwa anapanda daladala mida hiyo. Am worried kwa sababu simu yake haipatikani tena na nyumbani hajafika.
    Mdau.
    Asante.

    ReplyDelete
  2. duuuh
    nimemuona binti mmoja anaitwa IKUNDA ktk piche hapo chini,nafikiri yupo HABARI LEO.Nilipotezana na huyu binti karibu miaka 10 sasa toka niondoke bongo kuja huku State.Tulikuwa nae Moshi miaka hiyo. Plz Bro Michu naomba mwambie IKUNDA tuwasiliane thru email jjully777@yahoo.com
    Naitwa Julius

    ReplyDelete
  3. Michuzi,

    Check Vizuri Jina la Huyo Katibu Mkuu, kuna tofauti kati ya Florence na Frolence

    ReplyDelete
  4. khaaa wee annon "IKUNDA"umemuonaje na picha ata sura haitambuliki vizuri?
    me mumewe unasemaje weee kijana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...