Mkuu wa msafara wa timu ya kuogelea ya Tanzania Luis Sendeu akipokea Tiketi 17 za ndege kutoka kwa Afisa udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude. Timu hiyo inatarajiwa kuondoka kesho Januari 5, 2009 kwenda nchini Afrika ya Kusini a.k.a Sauzi kushiriki mashindano ya kanda ya 4 Afrika ya mchezo wa kuogelea
Mkuu wa msafara wa timu ya kuogelea ya Tanzania, Luis Sendeu (pili kulia) akimkabidhi Bendera ya Taifa Nahodha wa timu ya wakazi ya Tanzania, Samson Makere. Timu hiyo inatarajiwa kuondoka Januari 5 kwenda nchini Afrika ya kusini kushiki mashindano ya kanda ya 4 Afrika ya mchezo wa Kuogelea


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mh Balozi,
    Kwanza naanza na pongezi kwa Bwawa la Maini, jana walisambaratisha mtu ktk FA Cup 2-0, ahahahaa.

    Naomba kutoa changamoto khs ushikaji wa bendera ya taifa. Hapo kama unaona, bendera hiyo imeshikwa kimakosa kabisa, yaani huo ufito mweupe unatakiwa ushikwe na huyo wa mwanzo toka kushoto ili ianze rangi ya kijani na zingine zifuate.Kwa jinsi hiyo ilivyoshikwa, inaonesha rangi ya kwanza ni blue, hapo inakua ndivyo sivyo wadauzi.

    Naomba mwongozo

    MAKULILO Jr,

    ReplyDelete
  2. Makulilo, bendera si big deal, ni alama zaidi ya kitambaa na inaeleweka. Hata kama ni kijani bado iko juu. Hata kama kijani ingekuwa chini bado ni bendera tuu kwani ukianika suruali kiuno chini miguu juu, bado huwa ni suruali. Kwa kifupi nasema bendera ni tufe.

    ReplyDelete
  3. hicho kikwapa hapo kwenye puple kinachefua arise beauty shop its ur time to shine mkabidhini huyu kamanda package ya deodorant

    ReplyDelete
  4. Michuzi nadhani huko mbeleni tuanzishe lebo ya kikwapazzz. Chunguza hizo picha.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...