Home
Unlabelled
kp leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hii picha sijaielewa inaonekana kama Mh. Wayiri mkuu kwenye picha zote mbili au Kipanya alidhamiria kumchora JK huyo jamaa wa katikati
ReplyDeleteHata reli ya kati enzi za jerumani iltandazwa kwa mboko na kazi ilienda vizuuuuuuri, matunda hadi wakati huu wa mafisadi wanafisidisha shirika.IKIBIDI..... vitumike tuuuuu
ReplyDeleteKaka Michuzi pamoja na picha kutoeleweka, ni kwamba napenda kumpongeza sanaaa huyo DC, kwa kitendo alichofanya, tumechoshwa na huu utapeli na ufisadi. watu wanakula mishahara ya serikali bila kufanya kazi yoyote, ilimradi tuu ameweka KOTI au POCHI ofisini na kutoka siku imekwisha. ukiwapeleka vyombo vya sheria wanatumia ujanja na kuendelea kazini hakuna upimaji wa kazi (Performance Development Review) hata siku moja. wanaishi tuuu watoto wanakosa elimu na tunakosa maraisi na viongozi wenye utashi. HONGERA DC !!!!!!!!!!!!!
ReplyDeletesaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafi sana DC wa Kagera!!!
ReplyDeleteyan nasema ivi ikiwezekana wajeshi waingie kuongoza baadhi ya sekta Tanzania wachape watu bakora wafanye kazi ipasavo sio twisheni afu darasan huingii
DC OYEEEE,USIJALI UTAPATA KAZI
sasa kwa nini huyo dc hakumchapa mwalimu mkuu kwanza? alafu na wewe kipanya huo mchezo wako wakutolea mifano dini za watu utakutokea puani, ulikileta kikatuni fulani,watu walipoona mbali ukamwambia huyo swahiba wako akitoe haraka, wewe kweli kipanya.
ReplyDeletelakini angalia sana kwa binadamu, kwani panya uwekewa sumu na kupotea!!!!
haya sasa nahii msg michuzi usiitoe kama sio ufisadi wa kijinsia.it means that, ya kwanza ilifisadiwa!
MDAU kada!