Home
Unlabelled
philip na ini eddo wameremeta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wamependeza sana... keki ya harusi ilikuwa nzuri sana
ReplyDeletemshikaji kafaidi kweli manake hilo jicho na mdomo wa huyo INI EDO si mchezo. Mtoto anahusika sana sipati picha wakiwa kny maluv davi.
ReplyDeleteNgoja tule kwa macho sie...........
mdau,
mla kwa macho.
mshikaji kafaidi kweli manake hilo jicho na mdomo wa huyo INI EDO si mchezo. Mtoto anahusika sana sipati picha wakiwa kny maluv davi.
ReplyDeleteNgoja tule kwa macho sie...........
mdau,
mla kwa macho.
very gorgeous couple bt ini has put on some weight still beautiful though i loved the cake to
ReplyDeleteMAKE UP ZA MACHONI SIYO? WANGEMPAKA VERY LIGHT. SISI HUKU HUWA TUNASEMWA SANA NA WABEBA MABOX VIP SASA. ANY WAYSHE LOOKS CUTE
ReplyDeleteAlieuza cheni bandia kapewa noti bandia.. kazi kweli kweli...
ReplyDeleteHuwa nampenda sana huyu dada. Kanenepa kiasi ila bado ni mrembo.
ReplyDeleteCake ni nzuri mnoooooooo!
kapendeza lakini kanenepa.
ReplyDeleteTANZANIA MJIFUNZE HIZO NDIO CLASS CAKE SIO MICAKE MIREFU HAINA MBELE WALA NYUMA WENYEWE NDIO MANJUA FASHION.
ReplyDeleteanon wa March 17, 2009 5:15 PM...
ReplyDeleteHI HATER...(now u see me)
...
...
...
...
...
...
...
BYE HATER!
(now u don't)
mtoto
Ini Edo is from Calabar Nigeria( south east of the country). kunenepa ni jadi ya akina dada kutoka Calabar kabla ya kuolewa. traditionally wanawake wanaotoka Calabar wamenona, hivyo mwanamke akishachumbiwa kama bado hajawa na mwili, atawekwa ndani atalishwa mpaka ahakikishe amenenepa ili kum-attract bwana. kama hajanenepa hatakuwa qualified kuolewa. bofya the link below for more info on Calabar brides.
ReplyDeletehttp://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/6904640.stm
Wanaigeria mie wananiacha tu hoi!They are so over the top and eccentric-its too much.
ReplyDeleteKatika waigizaji wa kike wa kinaijeria huyu nampenda sana, akiwa anaigiza na kutumia jina la ULIMMA huwa anamaanisha kabisa, na pa kutoa machozi hata wewe utalia, na kama anaigiza housegirl au mschana wa kijijini humaanisha haswa, na kama anaigiza sehemu ya sister do humaanisha pia ukichanganya na uzuri na jinsi anavyoweka makeup zake utapenda hasa lipstick na jinsi lips zake zilivyo na macho ya kichokozi, ukweli anavutia mno
ReplyDeleteMMependeza sana,Kila la kheri kwenye ndoa yenu, ila mkumbuke kuwa ndoa si maigizo, mzae watoto wa kike na wa kiume muwalee katika maadili mema.
Mungu ibariki hii ndoa idumu manake isije kuwa Bibi kafuata Green Card na bwana Kafuata umaarufu wa Ini.
ReplyDeleteMtoto jicho jicho!! lips lips!!! soft!!!! hakika harusi ilikuwa poa, mume mzuri anaonekana pia ana roho nzuri sio huyu wa kwangu roho mbaya kaa makaanga sumu.
ReplyDeletePole annon.mar 18,1:05 unakumbuka wahenga walituusia kuwa kizuri chako kibaya cha mwenzako? Pia kumbuka hulka ya mtu ni silka ya mtu, hiyo ni H/W yakya leo usiniulize ninamaana gani wajuzi wameelewa.
ReplyDeleteanon wa March 18, 2009 1:05 PM...
ReplyDeletekumbe tuko wengi. mie mume wangu ana roho ngumu kama jiwe. uzuri akina kaka wa ki-west hata aki-cheat wanawaheshimu kweli wake zao. ndo maana nimeamua kuvuta side kick ya ki-west maana I need a break!
Lovely cake......wedding so cute......... groom bomba, bride ndo usiombe. Mbarikiwe
ReplyDelete