NAIBU WAZIRI WA HABARI,MICHEZO NA UTAMADUNI,JOEL BENDERA(KULIA)AKIONGEA NA VYOMBO VYA HABARI JUU YA UZINDUZI WA VODACOM DAR MARATHONI ITAYOFANYIKA JIJINI JUNI 21, 2009 NA KILA MWAKA BAADA YA HAPO. (KATIKATI)MKUU WA UDHAMINI NA MAWASILIANO WA VODACOM TANZANIA,GEORGE RWEHUMBIZA,(KUSHOTO)MKURUGENZI WA MASOKO WA VODACOM TANZANIA EPHRAIM MAFURU
NAIBU WAZIRI WA HABARI,MICHEZO NA UTAMADUNI,JOEL BENDERA NA MKUU WA UDHAMINI NA MAWASILIANO WA VODACOM TANZANIA,GEORGE RWEHUMBIZA,WA PILI KUTOKA KULIA WAKISHIKILIA BANGO KUONYESHA INSHARA YA UZINDUZI WA MBIO ZITAKAZOJULIKANA KAMA VODACOM DAR MARATHON,(KULIA)KATIBU MKUU WA CHAMA CHA RIADHA TANZANIA SUILEMAN NYAMBUI,(KUSHOTO)MKURUGENZI WA MASOKO WA VODACOM TANZANIA EPHRAIM MAFURU


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...