Home
Unlabelled
wanne star na nyoka wao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi,
ReplyDeleteSamahani Tupe MADAFU yanasemaje leo hii, I suppose KESHO insh.
au kama utatundoshea Pound na Euro zinanuliwa kwa ngapi huko? Samahani lakini ?
ReplyDeleteNaona kama kuna ka-UFA kwenye running track ya huu uwanja mpya......?!! Sijui ndo mambo ya "mfuko mmoja wa sementi matofali 30 ama........."?!!
ReplyDeleteGame la Yanga unaweza kulipata hapa live http://www.tv2free.com/ahly_tv.php
ReplyDeletehili la huyo myama kiwanjani yamevuka mpaka. sasa ni usanii gani huu? kwani waganga wa kienyeji si wamenyimwa leseni? hawa jamaa wasiruhusiwe kutuaribie uwanja wetu. hiyo sight ya huyo myama inatisha.
ReplyDeleteAnimal Abuse! Huyo nyoka kaleweshwa au ajalishwa kwa miezi..i bet atakufa tuuu... uwongo mtupu!!
ReplyDeleteMchuzi sasa utatumwa mpaka kuanua chupi kwenye kamba
ReplyDeleteduniani kuna mambo.
ReplyDeleteWASWAHILI BWANA ANGALIA WANAVYOHARIBU UWANJA SASA !
ReplyDeleteUSTAARABU UPO WAPI ?