Mmoja wa wazee wasiojiweza wa kambi ya Funga Funga ya Mjini Morogoro, ( kushoto) akipokea msaada wa nguo mpya kutoka kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro ambaye amehamishiwa Mkoa wa Tanga, Meja Jenerali Mstaafu , Said Kalembo,  leo alipowatambelea wazee hao  kutoa msaada huo na kuwaanga rasmi.
 
Baadhi ya wazee wasiojiweza wa Kambi ya Funga Funga ya Morogoro , wakiwa wamepokea  nguo mpya kutoka kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , Meja Jenerali Mstaafu , Said Kalembo leo. picha na mdau wa mji kasoro bahari John Nditi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. wakati mwingine umaskini wetu uko akilini na sio mwilini. Huyu mzee akifunga vifungo vya shati kuna ubaya gani au ndio ukivaa holela unaprove umaskini? na hapo wanapowaweka wanawawezeshaje kujikimu kimaisha au ndio kuwapa samaki kila siku badala ya ndoana? tuamke tutafute njia mbadala za kuupiga vita umaskini. msijeona nawakebehi la hasha

    ReplyDelete
  2. badala kuwapa
    ndoano
    majembe ya trekta,au zile zilizoingia sasa
    mitaji
    nk nk
    ila angalau waajiri vibarua wawavulie,wauze samaki au wawalimie wapate mazao wauze,mitaji waanzishe vijibiashara ata genge nk ili wajikimu maisha!!
    UNAWAPA NGUO??NGUO?? ambazo zinachanika tu apo akijikwaa msumari????

    kweli jamani??

    acheni tu

    ReplyDelete
  3. Pamoja na kuwapa Nguo....angewapa pia na (kama alivyosema Annun wa pili) Ndoano, Majembe, Matrekta n.k. pamoja na mitaji...Uwezekano huo upo ila inategemea na mawazo ya viongozi....pamoja na nia ya kutoa....na pia kama wanawajali hao wana vijiji wa huko kunakohusika....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...