Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Muhammad Seif Khatibu akiongea katika hafla ya kuwatunuku wanamichezo bora wa mwaka 2008 katika ukumbi wa Kilimanjaro Kempinski usiku wa kuamkia leo ambapo mwanariadha Mary Naali aliibuka kidedea kwa kuwa mshindi wa tuzo ya jumla na kujinyakulia kombe, cheti na kitita cha shilingi laki sita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mgeni rasmi anatoa anatoa hotuba watu wanapiga stori kivyao hata hawasikilizi anaongea nini. Kihotuba cha dakika saba waandishi wanashindwa ku pay attention.

    Japo na yeye Waziri nae haeleweki eleweki. Anadai uwanja mpya hautumiki, ina maana mechi za zilizokuwa zinafanyika uwanja wa Taifa wa zamani siku hizi zinachezewa wapi, shule ya Uhuru?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...