Kilimanjaro Stars
Wichita

Timu ya KILIMANJARO STARS imepanga kupiga kambi ya takribani mwezi mmoja kwa ajili ya kujiandaa kikamilifu na michuanao ya AFRICAN CUP MINNESOTA na yale ya timu ziishio U.S.A.

Habari zinasema  kwamba vijana wote wapo tayari kwa lolote. Na timu ambayo ipo tayari kukipiga na KILIMANJARO STARS wametakiwa kuwasiliana na uongozi wa timu MINNESOTA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Go Kilimanjaro Starts..ila vitambi vinabidi kupungua

    ReplyDelete
  2. Jezi zinaashiria Kili Stars watawachabanga Wichita

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 01, 2009

    Hiyo si Wichita ni Minnessota.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...