hiki ndicho kiota kipya cha savannah lounge & pub kilichomo ndani ya paradise city all-suite hotel katika ghorofa ya tatu ya jengo la benjamin mkapa pension towers usoni pa posta mpya mtaa wa azikiwe street jijini dar. kimefunguliwa rasmi usiku kuamkia leo na kiko wazi masaa 24
mandhari ya kuvutia
vistuli vya kisasa
viti vya kileo
manjonjo kibao
sehemu ya viti virefu

kwa mawasiliani zaidi piga:

+255 22 2200060/1/2/  ext. 7070

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. ebu wacheni ujinga nyie na hao wanawalipa kuweka haya matangazo ya biashara

    ReplyDelete
  2. kama club 40/40 ya jay Z michuzi tupatia bei ya bia kabla ya kuaibika nikienda.

    ReplyDelete
  3. BWANA MICHUZI, NAOMBA UTOE MAONI YANGU KATIKA BLOG YAKO KUHUSU HICHO KIOTA CHA MARAHA. KWANZA NAKUPONGEZA NI VYEMA UMETOA ILE VIDEO YA MENEJA YA JANA KUHUSU MAELEZO YA KIOTA CHA MARAHA. KWANI KILIKUWA KINASHUSHA HADHI YA KIOTA HICHO KUTOKANA NA MENEJA WAKE KUTOA MAELEZO NA KUKATISHA MAELEZO WAKATI WENGINE TUKIFUATILIA MAELEKEZO YAKE, TUNASIKIA ANAONGEA NA SIMU NA RAFIKI YAKE AMESAHAU KUWA BLOG HII NI CHOMBO CHA MAWASILIANO MAKUBWA NDANI NA NJE YA NCHI. BLOG YAKO MICHUZI NI ZAIDI YA ITV, DTV AU TVT KAMA BADO ZIPO, KWANI ZENYEWE ZATOA HUDUMA NDANI YA NCHI TU LAKINI BLOG HII ACHA MHEZO, HIVYO TUANGALIE TUNAVYOITUMIA KWANI JAMII HAITATUELEWA. HONGERA SANA BRO, MICHUZI. GOOLUCK MEMBE - IRELAND

    ReplyDelete
  4. Kweli Goodluck, afadhali mkuu wa wilaya ameichomoa ile video clip!ilikuwa inabore!jana nilipost comment hapa naona mkuu aliisoma akaichunia kuirusha, lakini nimefurahi aliona haja ya kuichomoa katika blogu ya jamii clip ile.

    ReplyDelete
  5. Afadhali bwana Michuzi umetoa ile video clip kwani Meneja alichemsha sana. Badal ya kufocu kwenye promotions yeye anaongea na simu na mashoga zake sijui ni nani lakini hakutakiwa kuongea wakati ule. Ilikuwa noma sana. NDIO MAMENEJA WETU HAO. GOOD LUCK

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...