Home
Unlabelled
libeneke la iringa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wabongo wabunifu ila basi tu. Toyota wenyewe hawajashtukia uwezekano wa kutengeneza dabopanya wakati sisi tumeliona. Hapa ndio kutafuta ufumbuzi wa ndani kwa matatizo yetu ya ndani.
ReplyDeleteNyumbu, mpo?
Nakubaliana na mdau hapo juu hii kweli kiboko maana oo double coaster kumbe kuna double hiace aaa hii kiboko
ReplyDeleteyaani ntajaribu kuwaonyesha hii picha hawa jamaa hapa ughaibuni zinakotoka hizo hiace naona watachoka wenyewe.
Panya kuwekewa teriaz hii kiboko!!!
mdau JP
Wazee,
ReplyDeleteSio Hiace tu hata FUSO zenyewe zikija hapa Bongo break ya kwanza Iringa. Huko inafumuliwa body lote na kusukwa upya. Wao wanaita kuweka double chasis. Ndio maana Fuso zinazidisha mzigo na Mjapan anabaki kushangaa.
tufanye mambo 3,
ReplyDelete1, tulifanyie uchunguzi wa kitaalamu ili kuepusha madhara
2, tuliwekee 'TBS'
3, Tulifanye liwe rasmi na hao mafundi wapewe mtaji wa kufanya makubwa zaidi
Bila hivyo inaweza kuwa madhara kwa mtumiaji kwani brake nk zilitengezwa kwa uzito fulani nk nk
Mjep akishtukia hao jamaa anawashtaki. wamuulize Rajinder wa moshi rsaafrica.com
ReplyDeleteMDAU12:50PM,TIBIESI YA TANZANIA WANASUBIRI MATOKEO UKIUMWA TUMBO NDIO WANAFANYA UCHUNGUZI WANINI UMEKULA,LABDA TUSUBIRI T.B.S YA JAPAN.
ReplyDeleteNAWAKILISHA
Mdau umenikumbusha mbali,hiyo hiace niliiona iringa miaka kama 4 iliyopita,ilinifurahisha sana,hapo ilipo panaitwa Mwanyingo au njia panda ya mkimbizi kwa Shayo,Wadau wa Tumaini university nadhani wananipata vizuri.Watanzania wabunifu sana.
ReplyDeleteMdau umenikumbusha mbali,hiyo hiace niliiona iringa miaka kama 4 iliyopita,ilinifurahisha sana,hapo ilipo panaitwa Mwanyingo au njia panda ya mkimbizi kwa Shayo,Wadau wa Tumaini university nadhani wananipata vizuri.Watanzania wabunifu sana.
ReplyDeleteBado ipo Iringa hiyo, mie niliiona This Jan.
ReplyDeleteHapo ilipo panaitwa MWANG`INGO sio Mwanyingo.
MWANG`INGO ni jina la ukoo fulani wa kabila la WAHEHE waishio IRINGA. Originated TANANGOZI nje kidogo ya mji wa Iringa.
Ni hayo tu wadau.
nyela bela kiki ichooo??
ReplyDeleteswelaga tutafika tu wanyalu wa kuboma
mmenibariki saaaaaaaaaaaNAAAAAA safi sana mko juu.
wanyalu tuna akili saaaana tu sema tu hatujikwezi na maringi km makabila fulani ivi!!
aluta kontinua
......Double hiace vipi?
ReplyDelete