
Marehemu Mama Martha Sinkara
Familia ya Nyingo “Lingalangala” wa Houston, Texas insikitika kuwajulisha ndugu jamaa na marafiki popote pale duniani kuwa Mama yetu Mpendwa Martha Sinkara amefariki dunia nyumbani kwake Ludewa Iringa tarehe 22/4/2009.
Taratibu zote za mazishi zimefanyika huko huko Ludewa tarehe 24/4/2009. Kwa wote wenye mapenzi mema tunaomba sala zenu ili Mwenyezi Mungu amjalie neema katika safari yake hii ya mwisho.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe milele.
Amina
Poleni wafiwa kazi ya mungu haina makosa. tunaamini atakuwa amefika kweye ile safari ya uzima wa milele Amen.
ReplyDeleteR.I.P mother! Poleni ndugu!
ReplyDeleteI personally know her.
ReplyDeleteShe is a strong woman and nice one.
The mama Lingalangala-I like her
Bye mama
Pole kwa familia yake
Tuko wote Houston ila nilikuwa sijajua kama mpo Houston.
Nitawatafuta kuwapa pole wafiwa
Poleni Lingalangala woooote Tanzania
NG'INGO AU NYINGO???
ReplyDeletepoleni wanyalukolo wa kuboma,inguluvi itange
amen
Mungu amlaze mahali pema mama yetu mpendwa mama lingalangala tulikupenda sana na tutakukumbuka kwa uchesh,busara na tabasamu la upendo la kila wakati.Mwenyezi Mungu awape moyo wa ustahimilivu wafiwa wote tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu na MUNGU AMJALIE PUMZIKO LA AMANI NA TUKIZIDI KUMKUMBUKA NA BABA YETU MPENDWA LINGALANGALA,AMINA
ReplyDeletePoleni sana ndugu, kufiwa mzazi inauma sana. Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali pema peponi, Amen.
ReplyDeleteTunaomba contacts za wana familia wa Houston
ReplyDeleteTunamfahamu huyo mama na tunapenda kuwapa pole
Poleni wafiwa wote.
ReplyDeleteJe, ni kweli kuwa kuna msiba mwingine wa yule wakili maarufu wa DSM aitwae Moses Maira uliotokea huko Houston? Wadau tufahamisheni.
Poleni sana wafiwa.
ReplyDeleteMungu amlaze mahali pema peponi. Amina.
Yes Maira amefariki Houston
ReplyDeleteNi habari za kweli
watoto wa late mzee maira tunaomba update za taratibe za kuaga mwili hapa houston...please tungependa kuhudhuria tafadhali
ReplyDelete