mwakalebela amesema tayari shirikisho hilo la soka la dunia katika bajeti yake ya kila mwaka ya mgao kwa vyama shiriki wametenga mkwanja maalumu kwa soka la ufukweni ambalo linapata umaarufu kwa kasi duniani kote.
katibu mkuu huyo amesema pamoja na kuwa ni mchezo pia soka la ufukweni ni kivutio kikubwa cha utalii na kwamba kwa kuanzia wataanza na wachezaji wakongwe na anategemea mafanikio makubwa ikizingatiwa bongo imejaaliwa fukwe safi na ndefu.
Mmelilia uwanja sasa mmejengewa,HatUoni mNacho KifAnya sAsa mWadai MchangAni sIvitukO iVo.
ReplyDelete