Mhe. Anna Abdallah Mbunge wa viti maalum (ccm) akisalimiana na Mhe.Elisa Mollel (ccm Arumeru Magharibi .Kulia ni Naibu Waziri wa Elimi na Mafunzo ya Ufundi Mhe.Mwantumu Mahiza viti maalum ccm na nyuma ya Anna Abdallah ni Mhe. Tatu Ntimizi Mbunge wa Igalula Tabora .
Mhe. Bujiku Sakila CCM katikati akiwa na wabunge wenzake wa CCM.Kushoto ni Christopher Ole Sendeka na Kushoto ni Mhe. James Lembeli Kahama. Picha na Anna Itenda wa Maelezo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Nafikiri huyo ni Ole Sendeka (Simanjiro) labla kama ni "Identical twins" na Michael Lekule Laizer(Longido)

    ReplyDelete
  2. Dah! Enzi za Mwalimu walikuwa ndugu hao, siku hizi sio ndugu zetu tena.

    ReplyDelete
  3. Huyo ni Christopher Ole Sendeka siyo Michael Lekule Laizer Ni hayo tu kwa leo.
    Wako katika Ujenzi wa Taifa, NDUN'GANI NAKAIYO DONGO wa SLP 4 Kibaya Kiteto

    ReplyDelete
  4. Jamani huyo mama Tatu ntimizi hazeeki, tangu namuona miaka ya mwanzo ya tisini yupo hivyo hivyo!!!!

    ReplyDelete
  5. Issa kama unatembelea huku kwenye maoni basi ubadilishe. Kushoto ni Christopher Ole Sendeka. Tafadhali fanya editing hii habari

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...