baraka chibiliti katuletea hii kutusalimia toka italy

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 15, 2009

    Sio bongo tu hata ulaya,watu hata hufikia wakati wanajipigia simu bora kuonyesha kuwa wanasimu ya bei kubwa.Unakuta simuina ita wala haipokelewi mpaka kero.Aksante mdau{MDAU}

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 15, 2009

    HII INAFURAHISHA!

    MDAU,
    UGHAIBUNI

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 15, 2009

    sasa jamaa anapaparika nini? dawa yake achukue huyo demu na mwenzake basi. tatizo hapo sio simu SIM card kama ipo fiti tunanunuwa nyengine. Ila hao madada wape mambooooo. XXXXX.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 15, 2009

    Akome na maringo mbuzi. Mlio wenyewe mbaya halafu anapigia kelele watu. Kuna siku kwenye mkutano simu ya mtu ilianza kulia kama mbwa anabweka, pata picha huko katikati ya watu.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 15, 2009

    Mhh, kama hiyo ni dawa, tutapata wenye ngeu wengi

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 15, 2009

    Mh, Chibiriti hiyo ni safi sana lakini usiwadanganye wabongo, ulaya ni ulaya watu hawachukui sheria mkononi kafanye hivyo Bongo hahahahah utabadishwa jina soon sio Chirbiriti tena bali Marehemu live kwenye bar

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 15, 2009

    Chibiliti sasa unataka kutuletea balaa na mauaji Bongo. Hayo mambo yanawezekana hukohuko Italy, huku umtumbukizie mtu simu yake kwenye glasi ya bia si unatafuta kifo....!!!!!!

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 15, 2009

    hicho kitu kinaonekana kimetengenezwa,sababu ukiangalia,hao wahusika wanaangaliana,kupeana ishara.


    umetupaka matope hapo!!!
    huyo jamaa ni rafiki yako
    Mdau Napoli.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 15, 2009

    chibi hujatulia

    ReplyDelete
  10. Kwa kweli hii ni CHiboko.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 15, 2009

    Nisaidieni ndugu zanguni. Mimi sijawahi kuona hata video moja ktk hizi zinazo posiwa. natumia laptop aina ya HP na nipo bongo hapa hapa. Je natakiwa nifanyeje? Manaake nikibonyeza ile 'play' inaniambia buffering halafu inanipa ujumbe kuwa video is currently unavailable. please try later.

    Help!

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 15, 2009

    SAFI CHIBILITI
    MDAU DARWINI

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 15, 2009

    Nimecheka mpaka mbavu ya mwisho ndio maana siachi kutembelea hii site, asanteni wadau kwa hii style

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 15, 2009

    wewe wa anony wa 10:28 hujui kuchanganua mambo nini? hao si kwamba wanaangaliana kupeana ishra. ni kwamba jamaa nia yake ni kuwakoga wale mademu, akaiweka simu mezani ili watoto waione wamzimike, sasa akawa anawaangalia kuona kama minjonjo yake inawafikia kweli au la. mimi ni mwanaume lakini niliwahi kuwa narafiki yangu ana tabia za kishamba kama hizo, akivaa kiatu kizuri akakaa kwenye kiti basi utamuona anapandisha suruali akijifanya labda anajikuna kwenye soksi huku anawaangalia nyie kuona kama kama mnakiona haswa kile kiatu bomba, vivyo akiwa na simu bomba, akiwa na pete yake kubwa ya dhahabu akaingia kiwanya chenye totoz kali kama pale regents basi ndo utamjua yeye ni nani, manake mkone wenye pete ndo unatumika kuinulia glasi na ni lazima awe akiwaface mademu wakati huo, akipigiwa simu wakati glasi iko mdomoni hapo ndo mtakoma wenyewe manake anatoa simu kwa mkona wa kulia lakini ni lazima aongelee kwa kutumia ule mkono wenye god ring kubwa na anaongea kwa sauti mademu waone ile simu kali na mkono ulioishika una pete kubwa ya dhahabu kali.
    wanaume wa jinsi hiyo wapo wengi bahati nzuri mademu wa kisasa wanajua mikogo yote hiyo na wanaweza kukupa shit kwa kuhama sehemu waliyokaa. kwa hiyo huyo bwana anawaangalia mademu kujiridhisha kama wanaiona simu kali. na mademu nao wajanja wamemuonyesha kuwa hawakogwi na simu. ofcourse hiyo ni action imepangwa ila lengo ni kutoa ujumbe kuwa vitu hivyo vipo sana!!! nenda dar uone wanaume malimbukeni waliopata hela ukubwani wanavyojishaua. au wabeba box wakirudi likizo uone wanavyojishaua utakuta wanapokea simu na kuanza haloo, enhee, ah unajua sikuweza kuja bado nimechoka sbabu ndo kwanza nimeingia jana usiku sana na klm unajua pale ohare airpot chi-town au chicago tulichelewa sana kuondoka halafu ndege ilipata matatizo ikabidi tutue kwa dharura jackson hazfield airport pale a-town yani atlanta tukabadilishiwa ndege ndo tukaanza safari ya kwenda schiphol airport amsterdam na penyewe tulikaa sana kabla haujaanza safari ya bongo yani hapa nilipo nimechoka kinoma. yani sintarudia tena kukata ticketi northwest airlines na likizo yangu ikiisha nikitaka kurudi states safari hii nakata BA kutoka dar halafu nikifika london nitaunganisha kwa Delta airlines hadi JFK kennedy NY si unajua mambo ya NY mzee? halafu kutoka pale ndo nitashuka chicago kabla sijaeleka nyumbani champaigne urbana ambako hata nategemea kuhama niende kushi durham north carolina!! lakini usijali mzee nitakuja kesho si bado upo sinza palepale palestina? hamna noma ntakuja pia unipeleke viwanja vya bongo nikaone kama vinafikia vile vya kwetu kule chicago." ntakuja kesho usikonde ila ntakuja mida ya joni sababu asubuhi ntakuwa bize pale bandari na wakala wangu nashughulikia kutoa gali langu hammer limeshafika si unajua bongo sina gali la kutembelea?? pia mzee mzee nitafutie mteja nikitaka kurudi home states itabidi hili hammer nilibane kimtindo si unajua tena?? haloo sikupatipati vizuri hapa nilipo kuna kelele za daladala nitakupigia baadae si unajua hii simu yangu mambo ya blackberry ikiwa inasachi mtandao wa internet huwa haitaki kelele ndo maana hata kuongea sikusikii vizuri, hizi bwana sikujua kama hazifunction vizuri huku africa inauma sana sababu nimeinunua bei mbaya sana kule texas.""
    kwa hiyo bwana ujue watu wa aina hiyo wapo na wakuwa wamekusudia kuwachota totoz kalikali.
    Ahsante

    ReplyDelete
  15. Baba UbayaMay 15, 2009

    hao mademu 2 na hao jamaa 2 wote wako pamoja.ni msg poa lkn m2 asiyekujua ughaibuni hawezi kufanya hivyo hata kidogo.
    tena ukifanya hivyo ndo utakuwa umempa ulaji maana utamnunulia simu mpya na gharama za hapa na pale kibao.
    hiyo imepangwa tu kiaina.alafu kwanza simu yenyewe wala haikuita kwa sana kumfanya mtu asiyekujua kuitumbukiza ktk glasi.

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 15, 2009

    ANON May 15, 2009 2:10 PM
    Kutokana na maelezo yako tatizo halitokani na aina ya pc unayotumia,bali linaweza kuwa ni tatizo la speed/bandwidth ya mtandao wako.Jaribu kuangalia hilo.

    Tried to Help,
    NdafU.

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 16, 2009

    Mdau wa Tarehe May 15, 2009 2:10 PM, unatakiwa kudownload Adobe flash player ili uone hizi videos, nenda hapautaipata free
    http://get.adobe.com/flashplayer/

    Kila la kheri.

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 18, 2009

    Asanteni sana mlionisaidia ili niweze kuziona hizi video. Kweli nimefanikiwa baada ya ku download hiyo flash player.

    Thanks for the help

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...