Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 14, 2009

    hahahaha kweli mkiambiwa kiti moto kina marazi mengi hamtaki kusikia mnaona sasa, sawa na wazungu kule nchi za nje wanalalamika magonjwa ya Ngombe wakati Ngombe kaumbwak ula majani tu wao wanawalisha mengine kiasi waumwe.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 14, 2009

    THAT'S WHAT BEING CREATIVE. I LOVE THE CARTOON AND IS FUN. IT SHOWS THE ARTIST KNOWS HOW THE FLU IS NTRANSMITTED. IT IS VERY EDUCATIVE AND ENTERTAINING.

    GREAT JOB.

    IT IS WHAT IT IS.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 14, 2009

    halafu eti watu wasema michuzi punguza katuni ebo!!!!! si mnaona mambo hayo. very educative very entertaining. these cortoons really makes our days!!! michuzi rudisha na KP, ongeza na za tolu, zero, na ikibidi na za nathan mpangala ha ha ha ha!!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 14, 2009

    huyu mnyama hata kama akiwa na swine flu kuliwa haachwi.tena ngoja nikamtafute sasa hv.wewe kama humpendi kaa pembeni.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 14, 2009

    mpike taratibu kwa masaa mawili analika kabisa

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 15, 2009

    nafikiri wataalamu waliharibu jina kwenye matamshi; huu ugonjwa ulistahili kuitwa SHUAINI FLU kwa sababu kitimoto a.k.a yake ni SHUAINI. Nasikia Wabongo wengi wanamla kwa kuamini kuwa nyama yake inakufanya ngozi yako ing'ae kama umetoka mamtoni! siku hizi mpaka kina mdebwedo nasikia nao wanamtafuna kisailensa ukimuuliza 'wala nini weye' utasikia 'nala pweza nimemvua kule Nchambawima karibu na Mfereji Maringo'

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 15, 2009

    msile ng'ombe msile kuku wala jamii yake pia

    H5N1,,,unaelewa??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...