Home
Unlabelled
kombe la mbuzi oye! hahahaaaaaa....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kweli sisi SIMBA atujahambulia hata kuku.
ReplyDeleteCongrats Cheski.atleast they got one.
ReplyDeletewe finished empty handed.
"Liverpool Milele"
Jamaa kaliita kombe la mbuzi baada ya wao kulikosa, Yaani mwaka huu LFC wameambulia patupu! Afterall Liverpoll kawaida sio timu ya ushindani huwa wanacheza kufurahisha watazamaji wao, Seriously! Hivi Baada ya kale Kakombe ka UEFA kale mliwabahatisha wazee AC milan, kuna chochote kweli wameambulia hata ngao ya Hisani. Wataitoa wapi nafasi ya pili yenyewe wamebahatisha mwaka huu! Ujanja kupata sio kuwahi! BWANA nAniHII!!!!!!!!!!
ReplyDeleteHawa ndiyo mabingwa halisi wa UK mwaka huu. Ili kombe linagombewa na timu zote za mpira UK, toka ngazi ya vijiji kwenda juu.
ReplyDeleteIna washabiki wengi zaidi na kubwa bingwa it mean a lot to players and club history.
He who laugh last, laugh longer.
HUYU NDIO KOCHA SIO MAXIMO HAJUI KITU NA MKOBA WA VISINGIZIO.
ReplyDeletemdau kisiju.
Wale mabingwa wa kombe la emirates mbona hawajifagilii kabisa au ndio ile ya kusibiri msimu ujao?
ReplyDelete