hassan rehani bitchuka 'super stereo' kulia na shaaban dede wakiwajibika usiku wa kuamkia leo kwenye bwalo la maafisa wa polisi oysterbay jijini dar ambapo kila ijumaa wanapiga nyimbo zao za old skul ili kuwaburudisha vijana wa zamani na wa sasa kwa vibao ambavyo nadra kusikika kwenye shoo zao za kawaida. shoo hii ya kila ijumaa inakuja juu kwa kasi na wadau toka kila kona wanaofika wanafurahia kwani hapo nyimbo ni za enzi za mwalimu tu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 17, 2009

    Utaoona wanamume wengine huwapa talaka wake zaooo....

    ReplyDelete
  2. Al MusomaMay 18, 2009

    Watu wa kuenziwa hawa kwa mchango walioutoa katika utamaduni wetu. Yu wapo Gurumo?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 18, 2009

    HAWA SI LO LOTE WALA CHOCHOTE NGOMA MSONDO TU. KIBOKO YAO.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...