Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 24 mpaka sasa

  1. Mdau, soharMay 14, 2009

    Hiyo ya juu sio ile nguo ya ubatizo ya raila odinga????
    Na hiyo ya chini mstari wa maombolezo wa nini? Dizaina wenu katokota vibaya vibaya, analeta mambo ya umodo kwenye soka??

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 14, 2009

    Mimi sio mshabiki wa soka kiviiiileeee, lakini hiyo ya ugenini, mmhh, sijaikubali kabisa. Shurti kwa vijikamba vya kukabia koo!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 14, 2009

    Ndo umuhimu wa kuwa na MYUZEAM. Naona washkaji wamechoka kudesign, wakaenda kuchomoa pamba ya VASCO DA GAMA na kuifanya kuwa pamba yao ya away. Safi sana kwa kuwaenzi MABABU. HE HE HEEEEEEEE

    Gordon Chiggs
    LFC or DIE

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 14, 2009

    dubai!!!
    colonial white shirts #1

    ivi wazungu na waarabu ktk soka vipi na vipi????

    sielewi-elewi

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 14, 2009

    mbona inaonyesha mtakuwa mnaomboleza ugenini mkivaa hiyo away kit. msimu ujao mtakoma na dizaina wenu keshajua hilo na kuwaandalia nguo ya maombolezo.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 14, 2009

    It doest click in my mind, what a shame, I have never come across with such a strage jersey,

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 14, 2009

    hehehehe...designer kawaua. hasa huo uzi wa ugenini....loh! huo mshipi mwekundu kifuani ka supervisor wa vinjwaji hotel fulani hivi...hehehehe

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 14, 2009

    Duhh..

    TOOBA YARABI .... mbona hiyo ya kwanza ni kama sare za walinzi wa kampuni moya pale Magomeni...designer huyu feki ..na inaonyesha wazi mzimu ujao ni msimu wa majuto na maombolezo kwa man U .. poleni sana wakati wa kubebwa umeisha sasa..

    Ni mimi MCHUMIATUMBO HAJIDUNI.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 14, 2009

    changa la macho, itakuwa timu moja kuvaa jezi za sponsor wawili? hiyo nyeupe ni saudi telecom na chini AIG

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 14, 2009

    WEWE annon wa Tarehe May 14, 2009 8:51 AM hivi unaishi ulimwengu upi? hebu staarabika na wacha kuwa na fikra finyu na za kibaguzi. unauliza mwarabu na mpira? mwarabu amefikisha timu yake world cup mtanzania wapi!?

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 14, 2009

    Hivi huyo sponsor AIG hajafilisika ? Maana sije mkawa kama West Ham United, sponsor wao aliposhindwa kuwakatia haki yao ikabidi wabandike viraka kuziba matangazo ya sponsor ktk jezi zao.

    Au huo uzi wa ManU ni feki?

    Mdau
    Liverpool

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 14, 2009

    naona man-yuu sasa mmeamua mwakani mshiriki mashindano ya kumsaka mr handsome boy. hiyo sio nguo ya mpira. you are not serious

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 14, 2009

    hii ni tribute kwa kikosi chetu kilicho chukua ubingwa wa FA miaka 100 iliyopita wazeya
    tatizo kidogo imwkaa kama t-shirt ya kike hata mimi mdau inaniumiza kichwa

    SOUTHAMPTON MAN CHAIR

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 14, 2009

    Sio Feki ni kweli itakuwa inatangaziwa na Saudi Telecom ya saudia arabia kuhusu ya chini sijui sababu AIG matatizo yao tunajuwa watakuwa wanavaa kiraka labda waweke VODACOM hapo.

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 14, 2009

    DUH Machester Unite mwakani watacheza Rugby nini?

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 14, 2009

    huo uzi wa ugenini unanikumbusha send off ya demu wangu. yaani alivaa hivo hivo kudadadeki nikiuona napata akshi akshi manake yeye alilegeza hizo kamba basi ule mfereji unaotenganisha ukaonekana vizuuuuuri we acha tu man-u watakuwa wananikumbusha mbali kama kuna anae bisha aulize kupitia chizihajijui@yahoo.com nitam sendia photos on email

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 14, 2009

    Kuna wachoma nyama hapa kwenye kibaa cha jirani wanavaa unfomu kama hizo!hii kali!sidhani kama hiyo jezi hapo juu itatumiwa .kama ni hivyo itakuwa kichekesho!

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 14, 2009

    timu kubwa nyingi msimu ujao jezi zao za ajabu mbona au mjaziona?
    hao AIG mkataba wanamaliza lini na man united?

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 14, 2009

    tehe tehe tehe!!! hicho ni kiwewe cha kupigwa 4-1 pale trafford. na bado msubirini mr dullacell(kuyt) mwakani. nasikia mliposikia mnayama tevez anakuja liver mkajifanya eti mnaanzisha nae mazungumzo ya kumsajili. kisa asiende liver. kwa taarifa yenu mtachukua ubingwa mwaka huu sababu mlibebwa sana. lakini mwakani sahauni na kipigo kutoka kwetu mechi zote mbili kiko palepale.
    hiyo jezi yenu mpya haitanoga kama hamtakuwa mkivaa na mikufu ya shaba manake wenzetu mmeamua kuwa mamodo!!

    ReplyDelete
  20. Baba UbayaMay 14, 2009

    hiyo ya ugenini hata timu za mchangani hazitakubali kuivaa.yaani kuiangalia sana ni kichefuchefu.hahaha
    hovyooooooooooo!!!!!!!!

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 14, 2009

    Acheni roho mbaya nyie! badala ya kushughulikia usajiri kuongeza nguvu ya timu zenu mbovu (Liverfools na Rentboys)mnakaa kujadili jezi yetu. Sijui mtakuwa wapi tarehe 27? Mavi yatawauma... Champions of England, Champions of Europe and Champions of World watafanya vitu vyao kama kawaida yao. Baba Ubaya, huo uzi ni mshahara wa mtu wa mwezi mmoja, usifanye mchezo! Mwisho ni mpira wa hali ya juu unaoonyeshwa na Man Utd, sio jezi. Kama nyie mwapendeza mme-win trophy gani mwaka huu au uliopita? Paka Mweusi

    ReplyDelete
  22. AnonymousMay 15, 2009

    hahaah mwangalieni chizi huyu MANURE au MAnuwa Manuwa united. anasema Rent boyz sasa nani Rent boyz? Tevez mpo naye Mkopo wa miaka miwili sasa mnapata tabu za kumnunuwa mnamtafuta kwa lazima FREE! kashasema anataka kuchezea Liverpool na C. Ronaldo mnamuabudu kama mungu, kila siku Sir Alex anampigia magoti. nyie zidi kununuwa ma Refa tu na watu wa FA ila wachezaji wanawakimbia.

    ReplyDelete
  23. AnonymousMay 15, 2009

    JAMANI TUWAACHENI UTANI ILE JEZI YA CHELSEA MNASEMAJE IMEVIMBA SEHEMU ZA KIFUWA IMEVIMBA MABOYA SIJUI NDIO DROGBA AKI DIVE AOGELEE VIZURI. ASIJE KUZAMA. XXX

    ReplyDelete
  24. AnonymousMay 16, 2009

    Tarehe May 15, 2009 4:25 AM,Anonymous

    Basi ww ndio chizi hivi siku zote hizi munaingia ktk leg na kujua manu ananunua marefa na watu wa fa sasa ktk leg hamuogomi nyinyi mbona tunawaona kila siku munaingia uwanjani basi itakuwa mzembe sn ww kama unajua fika manu ananunua refa na kukubali kucheza inakuwa work done is equaly to zero. Ama ukiishiwa hukosi sababu haya na champions leg manu kanunua marefa ama utasema nini kwa hili na next seasorn jeee bajomba ndio huna tamaa ya kombe kwa vile manu ananunua marefa hemu kuwa na akili bro.

    U can try next seasorn for curling cup if wigan's not intrested

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...