mikonozzzzzz
nanihii akila pozi na wadau wa los angeles leo
nanihii na wadau wa konyagi USA

TK ndani ya nyumba

nanihii akiwa na mdau wa hollywood toka nigeria

nanihii akiwa na willian george zane a.k.a billy zane, nyota wa filamu maarufu wa hollywood ambaye wale mlioangalia filamu ya titanic mtamkumbuka kama kubwa la maadui aliyepokwa demu na leornado di caprio wakati meli inazama.
kwa habari zake zaidi


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 32 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 20, 2009

    kaka Misoup mambo viiiiiiiip naona shavu na mikonziiii ila poa kaka

    ReplyDelete
  2. Mdau, soharMay 20, 2009

    Nanihii una bahati sana wabongo hatuna roho mbaya, si unacheki masela wa US walivyokusitiri kwa suti zao, ukija huku Umangani, ntakuazima dishdasha (Kanzu) na aamama (Kilemba) upigie picha1

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 20, 2009

    Aha kweli umependeza, angalia usimsahau wife nyumbani.Mithupu TK maana yake nini?

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 20, 2009

    Misoup hebu tupe story jinsi ulivyowaingia hao jamaa kuomba upige nao picha maana najua hapo ni Kiinglish kiliongewa
    ...me..you a ...picture I mean a photo..can we beat..?

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 20, 2009

    HAPO UMENIANGUSHA SANA MICHUZI.HII NDIO ILIKUWA SEHEMU YENYEWE YA ZE FULANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAZ.na ungeivaa hapo ningeamini kuna kibabu kimekupa fulana hio bagamoyo.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 20, 2009

    Duuh, Nilidhani TK ni Mbongo kumbe mzungu, nywele naona si kama zetu.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 20, 2009

    N'shikaji ulifaudu kweliii!

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 20, 2009

    wabeba box wakimbizi wa kiuchumii wamekula suti za SALE!!!!
    Kimali

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 20, 2009

    Mmmh unatanua tu kaka.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 20, 2009

    Hongera. Umevaa thuti ndio maana umefurahi sana sijakuonaga ktka picha ukicheka hivyo yani meno thelathini na nje yote mbili

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 20, 2009

    Nyie watu hizo gang signs mnazo flash mnajua maana yake lakini? Msiige mambo kwa sababu tu uko U.S. Ngoja mkutane na Crips au Bloods alafu flash hizo gang signs uone kitakachotokea......kama hatutakuchangia jeneza na nauli.

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 20, 2009

    Nanihiii bonge la celebrity, tunasubiri zawadi toka Obama land....mweee.

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 20, 2009

    michuzi mambo yako si mabaya unapeta tu.

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 20, 2009

    Mzee wa bwawa la maini..ingawa unabana sana kuhusu ushindi wa ManU kwenye blog yako.Lakini jana nilipata fursa ya kukuambia kwenye uso wako ManU is a best team na ukashindwa kuitetea team yako.

    Kwa ujumla upokezi wa Rais Kikwete ulikua sio mbaya,lakini uswahili ulikuwa mwingi kwenye mambo ratiba.

    Mdau Los angeles

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 20, 2009

    Mkuu wa nanihii!!hii picha uliyopiga na dada wa Nigeria konozi moja liko wapi?mbona naona kama vidolez hapo karibu na mkandaz.Ila Big Up sana mkuu......

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 20, 2009

    Sasa huu ni mwisho wa Fulanazzzzzz mijumba inakusitiri poa sana kaka Michuzi! Unapendeza na hilo jumba ulilotinga ni la nguvu si mchezo!
    Inabidi fulanazz zistahafu! Looking nice bro.

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 20, 2009

    Kaka Mkuu,
    "Pamba" limetuliya pahali pake,hata hilo "nanii" la "ugali wa siagi" halionekani,kama isingekuwa kawaida yako ya "mikonozzz" nisingekutambua kama ni wewe.

    Uwe makini "mikonozzzz" ya huko kwa "Obama" haiendi mitupu bila ya kulambwa,usije kosa kaji-zawadi cha shemeji ukirudi kwetu kwenye jua kali.

    Vekesheniiiii njema !!!

    mickey@mail-online.dk
    Denmark

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 20, 2009

    TK ndo nini jameni???

    na hao mazee wawili na vidole ivo ndo nini sasa?na suti zao basi ndo wameharibu kbs haziendani na kufanya ivo...aaagh "*^^$#>::+@&**

    kweli unapeta misoup...sasa JK nani anamtandika pichazzz km wewe unazurura ivo????

    hahahahaaa

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 20, 2009

    heeeeeeeee

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 20, 2009

    Hii suti yako NI ile ASANTE MRUMA sio?? Ile aliyowanunulia wakati wa Sullivan? Nadhani. Imekutoa lakini. Mruma adumu TSN.

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 20, 2009

    Mkuu wa wilaya ya nanihii vp? mbona kwenye hiyo picha na bibie mdau wa hollywood naona kama mtu mzima "kitu kimeenda winga"?Bibie alikupandisha wazimu wa nanilii nini?

    ReplyDelete
  22. AnonymousMay 20, 2009

    Tuandikie makala tujua vile Google alianza, na anavyo-operate

    ReplyDelete
  23. Kaka Michuzi, Mimi ni mdau wako mkubwa sana wa huku Mysore - India. Tafadhali naomba uitambulishe blog yangu ya mambo ya Washindi.
    http://www.washindi.blogspot.com/

    ReplyDelete
  24. Kaka NANIHII kabla hujarudi BONGO pitia huku CANADA ni nchi jirani na USA ili utupe hai.Waombe tu hao wakuu wako(Najua haupo ktk Vacation kama unavyotudanganya),au watamaindi? maana huaminiki unaweza kuingia mitini.Wakikukubalia waambie nitakulipia nauli ya kurudi kutoka Montréal hadi DAR,usikonde
    THE KOP
    MONTRÉAL
    CANADA

    ReplyDelete
  25. AnonymousMay 21, 2009

    Michuzi shemejiyetu kweli hana wivu.

    ReplyDelete
  26. AnonymousMay 21, 2009

    Sasa huko ndio kucheka au kufurahi???? Au ndio pizi la tabasamu?

    ReplyDelete
  27. AnonymousMay 21, 2009

    Enjoy ila usisahau kazi

    ReplyDelete
  28. AnonymousMay 21, 2009

    Enjoy ila usisahau kazi

    ReplyDelete
  29. AnonymousMay 21, 2009

    Hii post watu hawacomment sana, sijui kwanini?! Ila nahisi kama comments zinawekwa KAPUNI!!! hahahaha

    ReplyDelete
  30. AnonymousMay 22, 2009

    annon 4.45pm,,,umenena

    hahahahaaaaa uwiiiiiii

    bora umesema mana me nashindwa kabsaaa kuelewa izi mbongozz yan nyie kila kitu mwaiga tuu,mara madolee v mara wafuta vumbi sijui began,mara ivi mara nyooo

    khaaa,mbanoa sana

    ReplyDelete
  31. AnonymousMay 22, 2009

    annon...
    konozzz moja liko apoapo uliposemea ktk kandazz

    dah michu unafaudu,,afu my waifu wako wala hana noma wala nini safi sana una mke mwelewa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...