KAMPUNI YA DMK GLOBAL PROMOTIONS NA MDOSI WANAWALETEA ONYESHO LA ALI KIBA LIVE IN WASHINGTON
***PROGAM NI KAMA IFUATAVYO
**JUMAMOSI-JUNE 13
**ZANZIBAR NIGHT CLUB AT THE WATER FRONT**
700 WATER STREE, NW
WASHINGTON DC
***DOORS OPEN @ 9 PM
***KIINGILIO JUST $ 20
***WAALIKWA TOKA TANZANIA,KENYA,
UGANDA,RWANDA,BURUNDI,ZAIRE
ALSO DC SUPER STARS
***THA SWAHILI***
WATAFUNGUA SHOW YA ALI KIBA
SUPER STAR DJS LINE UP
DJ BANTI & OLD SCHOOL MIX MASTER DJ LUKE
MAELEZO ZAIDI-
301-661-6207
OR
301-760-7237-
DICKSON a.k.a Mr DMK
VISIT
AU
Huyu jamaa ni mshamba saana anakubali kupeperusha bendera ya Kenya badala ya nchi yake maana watu wengi huku USA wanajua anatoka Kenya. Basi mkenya mmoja akawaanusumulia musician toka kwao jinsi alivyotumbuiza nikauliza anaitwa nani, nikajibiwa Ali Kiba. Nikabaki gaa, no Ali kiba is from TZ while is too late.
ReplyDeleteBwahaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteYale yale ya Kilimanjaro kua Kenya.
Waacheni wakenya wajisifie.
Mbona tunamjua kwamba mama yake anatoka Kigoma na baba yake ni msambaa.
Hii tena imekaje.Kama mdau hapo juu aliesema anapeperusha bendela ya kenya baadala ya Tanzania. jamani mbona kila siku Wabongo wanapenda kujirudisha nyuma hivyo. Michosho sana huyu ali kiba, Tena ache mara moja kujivyunia na hao majilani. Tanzania yetu nzuri sana yenye milima na mabonde,nini? tena kwenda kujipakaza ya majilani. kama hataki kuonekan mbongo na ahamie huo kenya na awe wa uko na ndio apeperushe hiyo bendela. Huko kwa kina laila kama anakusudisha. Kutwa wanamalizana wenyewe kwa wenyewe ohhh!!!! mara laila, mara kibaki. Mungu ibariki Tanzania. heshima umoja na amani, na kama hao mafisadi huko kenya ndio mishosho kabisa kwa tarifa yake, Tanzania mafisadi watacha tuu, kwani ni kurekebishana, fisadi nani? na asiefisadi ni nani? ni kumbuana na kufungwa jela na utaifishaji ndio dawa ya mafisadi.
ReplyDeletesasa atafanyaje wakati mapromota wote wanaompeleka huko ughaibuni ni wakenya, na wabongo wamelala tu?
ReplyDeletedon't just complain do something abt it. ndo yale yale ya mlima kili, complain nyingi lakini no action. nani atawafanyia kama sio nyinyi wenyewe? grow up kids!
Bongo Tumekalia UTAPELI na UFISADI,matokeo kila mtu anatafuta wapi kwa kujilipua kama Kenya,UK au USA .yote maisha.
ReplyDeleteDogo punguza dharau wewe uliza wenzio walikuwa wanajifanya na maringo leo wako wap?
ReplyDeletemas wimbo wa MAC MUGA utakuwa umejiimba wewe mwenyewe heshima wa kwenu.....zirokweli kweli wewe
wabongo kila kitu mnaonewa.sasa leo wakenya wamewachukulia mwimbaji wenu? ha ha ha mnakuwa kama mitoto midogo.
ReplyDeleteYOTE HAYO NI SHAURI YA MICHUZI. TUMEMWAMBIA MARA KIBAO HUYU JAMAA ANATEMBEZA BENDERA YA KENYA KWENYE MAONYESHO YAKE LAKINI AKAONA KAMA TUNAONA WIVU. SEMENI NYIE WENGINE TUKISEMA TUNAOSHA VINYWA! LOL
ReplyDeletehaitusaidii,wala hatusaidii
ReplyDeleteTz haitofutika itadumu tu km nchi
music nini bwanaaa??
kwani roho ziwapipuke kwa uyu kavulana?simply sijui kaja mamtoni,bendera sijui nk nk
kuna vitu vya msingi tuvizingatie vibadilike ndo vitambulishe nchi:MADINI,MBUGA,MILIMA,VIVUTIO VYA KITALII,UTAMADUNI,SHULE nk nk