Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda akipongezana na Balozi wa Denmark nchini,
Bjarne Sorensen baada ya kuweka jiwe la Msingi la ukarabati wa barabara ya TANZAM
sehemu ya Iyovi-Kitonga Gorge na Ikokoto –Iringa pamoja na barabra ya mchepuko ya
kuingia Iringa mjini zote zikiwa na urefu wa kilometa 149.6 katika sherehe
zilizofanyika Mazombe wilayani Kilolo Juni 14, 2009. Kulia ni Waziri wa
Miundombinu, Dr. Shukuru Kawambwa na katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mohamed
Abdulaziz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 15, 2009

    HIVI KUNAAJENDA GANI SERIKALINI KUHUSIANA NA BARABARA KUU YA KASKAZINI? KWANINI BARABARA HII KATI YA IRINGA, DODOMA NA ARUSHA HAIJENGWI BADALA YAKE ZINAJENGWA BARABARA ZISIZO NA UMUHIMU MKUBWA. INAELEKEA HAPA SIASA INATUMIKA ZAIDI KULIKO UKWELI.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 15, 2009

    ale bee kuboma uko...

    wahungile kukae

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 15, 2009

    Kinachoshangaza ni kuwa hata ujenzi wa barabara haujaisha barabara zinaanza kubomoka.
    Haya ni maajabu kabisa na hao wakandarasi wanapewa barabara nyingine kujenga.
    Kweli sirikali ya bongo ni kichwa cha mwendaazimu.....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...