JK na Rais wa Zanzibar Amani Karume wakipata maelezo kuhusu utafiti zao la Muhogo kutoka kwa Mtaalamu wa kilimo Kutoka kurugenzi ya utafiti na maendelo kwenye Wizara ya kilimo na Maendeleo ya chakula,Dr.Geoffey Mkamilo(kushoto)baada ya kufungua Mkutano wa Kilimo KWANZA kwenye hoteli ya kitalii ya Kunduchi Beach jijini Dar leo
Home
Unlabelled
JK afungua mkutano wa kilimo Kwanza dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ingekuwa vizuri zaidi ufanyike rukwa au mbeya kupata feedback kutoka kwa wakulima wenyewe
ReplyDeleteNakaaya ameimba mr. politician, utashi wa kuendeleza kilimo haupo nchini. kalagabaho...
ReplyDeleteThis is absolutely the Wastage of time and resources...
ReplyDeleteJK et al, kuna vitu vingine wa-TZ hatuhitaji kwenda shule ili kuvifahamu. Viko straight-forward mno ndugu zangu. Pesa iliyotumika kuandaa shughuli hii pamoja na kuwalipa allowance wahudhuriaji ingesaidia kuwapa mifuko ya bure ya mbolea wakulima zaidi ya 500 ili kuwaongezea ufanisi.
Inaumiza sana mtu kuona vitu vya dizaini hii vikiendelezwa.
We need to change the way we think. This might be one of the reasons why Tanzania ni masikini miaka zaidi ya 40 baada ya uhuru.
JAmani wafanyibiashara na wakulima wa mwanza na tanzania mnaotaka kuuza bidhaa zenu nje mtafuteni mtanzania mwenzenu Dr. Shayo analink ya wanunuzi wa bidhaa zenu huko ugaibuni.
ReplyDeletesi mlifuatilia ile report yake ya opportunities za masoko nje ya nchi iliyotolewa katika hii website ya jamii.
nakuombeni mtu mwenye e mail yake au simu yake aiweke hapa ili wakulima na wafanyibiashara wengi wa kitanzania waweze kunufaika na nafasi hii
Hivi kwani sisi tumerogwa? Shame on us kwa kweli. So tukifanya hilo lisemina huko dar then tukaacha mazingira kama yalivyo huko vijijini what are we doing? Mkulima ambaye ndiye mzalishaji ameachwa kama yatima, hakuna mbolea na pembejeo zingine. Then kwa taabu akivuna, mchuuzi atakuja na mzani wake fake amwibie kwa bei aitakayo yeye mchuuzi. Oh my God when will be serious on serious issues?
ReplyDelete