Home
Unlabelled
kp leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
wewe kipanya wewe... utafungiwa kama mwenzako zeutamu. Huyu mjomba hapendi mambo hayo....
ReplyDeleteKipanya mimi ninavyojua viwanda vingi vya samaki kanda ya ziwa vimejengwa baada ya J.K. Nyerere kuondoka madarakani na vyote ni vya watu binafsi na si mali ya serikali,wakati wa mwalimu ni viwanda vingi sana vilijengwa na serikali kama Mwatex,Urafiki,Tanganyika pekers n.k tofauti na sasa serikali haijengi viwanda.
ReplyDeleteHivyo basi kusema tumuulize Nyerere si haki inatakiwa tumulize Kikwete na ahadi zake lukuki.