HABARI KAKA MICHUZI,

POLE SANA KWA KAZI.NAPENDA SANA KUKUPONGEZA KWA JUHUDI ZAKO ZISIZO KUWA NA KIPIMO WALA MWISHO WA KUSAMBAZA HABARI MBALIMBALI MUHIMU KWA WATANZANIA NA WENGINE WOTE DUNIANI BILA KUJALI WAPI WALIPO.

NAPENDA KUKUFAHAMISHA NA PIA NINGEOMBA UWAFAHAMISHE WATANZANIA WOTE NA WADAU WOTE WA BLOGU YA JAMII KWAMBA KUNA BLOGU MPYA INAYO HUSU UBUNIFU NA UELIMISHAJI KWENYE MASWALA MBALIMBALI YANAYO HUSU NYUMBA NA UJENZI KWA UJUMLA(ARCHITECTURAL DESIGNING AS A WHOLE).

BLOGU INAITWA:

AHSANTE SANA NA KAZI NJEMA.
REGARDS,
CASSIAN.J.NG’ITTU,
CEO AND FOUNDER,
SMARTDESIGN360

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 03, 2009

    okk....sasa bro utuwekee na mapicha ya mamiss kwa sanaa

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 03, 2009

    una kifafa wee annon wa #1

    alaaah

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 03, 2009

    bongo kila mtu ARCHITECTURer ukipata hela unabomoa ukuta unaongeza chumba mpk linakuwa gorofa "ndondondo si chururu"

    unaakili sana wewe,simpaka ungoje uajiriwe na konoike ndo faida ya kusoma nje hiyo you learn & apply creativity & innovation.hatuwezi wote kufungua salon mtaani

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 03, 2009

    unaakili sana kijana kaza mwendo ndio wakina john mashaka wa baadae hawa subirini tu tujengewe mji.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 03, 2009

    very intelligent. atleast umefungua blog inayoelimisha. THUMBSUP

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 03, 2009

    I like people like this who got their education abroad and try to come up with new ideas.And u become creative.
    Pongezi kwa huyu Architect.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 03, 2009

    I like it...Mimi napenda nyumba...though architecture sio career yangu lakini napenda sana kutembelea architecture museums etc.....Napenda nyumba za frank Lloyd wright na huyu wa green homes ......kama unapenda extremes home check HGTV wana kipindi chao kila Monday utaona world's extreme homes.... its very fascinating

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 04, 2009

    cassian nimeshaona blog yako imetulia.
    rose uk

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...