Home
Unlabelled
mambo ya ahmed viriyala
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kupanga ni kuchagua. ukichagua ovyo mambo yankuwa hovyo hovyo
ReplyDeleteUjumbe wanapewa tatizo akili zao zinafikilia UFISADI na urasimu usiokuwa na sababu. MUNGU TUSAIDIE.
ReplyDeleteI`m just say.
Mjadala huo ulifungwa zamani. Vyombo vya habari, wafanya biashara, wanasiasa, wamepiga keleleeeeeee, wameshindwa. Lakini ukweli ndiyo huo, Kuna meli zinapita na mzigo hapo hapo DSM, zinakwenda kushusha Mombasa, na unasafirishwa hadi Dar kwa magari. jamaa zangu kibao pia hushusha magari yao Mombasa, na kuyaleta Dar kwa barabara. Achilia mbali biashara za nchi jirani tunazokosa!
ReplyDeleteWameambiwa long time...tumieni bandari za Mtwara na Tanga lakini bado tu! Jamani hivi vichwa vya viongozi wetu vina mchanga au nini?
ReplyDeleteWawekezeji wapo tayari kuja kuimarisha miundombinu ya bandari hizi lakini wao bado tu wanashikila Dar! Chonde Chonde jamani!
hapo mbuzi anapigiwa gita lakini ujumbe umewafikia.
ReplyDeleteYaani huwezi amini, bandari na tra wameanzisha online system ya kuprocess mizigo, lakini kila siku server zipo down kwa masaa 4-6 na hivyo kusababisha mwenye mzigo kulipa storage fee ktk bandari na shipping line, yaani inatia hasira na kukatisha tamaa kabisa kushusha mzigo bandari ya dar.
ReplyDeletemimi naona wote wawajibishu kwakuwa hawawezi kazi, mizigo yangu imekaa miezi miwili na nusu kwasababu wanataka wanitose laki nne ya person effects za bi mkubwa hata gari hawajui ushuru pesa ngapi mpaka wahulize supply wao wa uk kwaemail,hiyo ndio titcs tunamachungu basi tu tutarudi turekebisha wenyewe wakereketwa.
ReplyDeleteKinachoniuma nafanya same job in uk (custom officer)ya kucharge mizigo inayotoka all over the world lakini hatumii muda hivyo.
Kama mzigo unakwenda stores hutatumia siku tatu maximum.
heri mombasa kuliko dar...
ReplyDeleteyani wanang'oa vifaa katika mali ao khaaaaa kama wameambukizwa VIRUS
yan inakatisha tamaa sana,
hizi biashara za mtandao izi???
siku ipo tu