Home
Unlabelled
MARAIS WALIOWAHI KUPEWA BLING BLING NA MFLME WA SAUDI ARABIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kweli bwana na rais wetu anabahati ya kupata hizo bring bring
ReplyDeletebahati gani weweee???
ReplyDeletekua uelewe,no cha bure kule,wafikiri "wanavotembeleana" ni basi tu basi??
kaazi kweli
cheki izo dhahabu umo nyumbani
ReplyDeletedaaaah!!!
eeenh! halafu siku mama salma akiliazima hilo kwenda kurusha roho muoshe vinywa hapa!
ReplyDelete(eenh ndiyo, mmesahau zamani kina mama walikuwaga wanaazima bonge la saa la faza kuendea shughulini ilikuwa nini si kurusha roho tu!)
Hupewi bure bling bling. Kichaka na Mjaluo wanawakilisha taifa ambalo ndio mteja mkuu wa wese la wamanga hao. Huyo Mrusi sijui alipata vipi dili. Mbongo naye sijui kwa nini kapewa bling bling manake hatufanyi biashara yoyote ya maana na wamanga hao...
ReplyDeletedaaa na mimi niunganishe huko niende michuzi
ReplyDeletemichu hii wedi verifikesheni ya nini bwana weeee
kweni bila hiyo maoni hayanogi bwana?
Sasa Kikwete atalivalia wapi?
ReplyDeleteGWB & Obama wanataka mafuta, JK atatoa mashamba kwa wakulima wa Saudi, Putin not sure may be looking for weapons market.
ReplyDeletenasikia ya JK walimpa feki...kweli?
ReplyDeleteBling bling huko ni za kumwaga, Hata wewe Mkuu wa Wilaya ya Nanhii unaweza ukaipata kama utakatisha kwa Mfalme...
ReplyDeleteSiyo bahati bali ni utendaji mzuri wa kazi. Muulizeni Obama atakuambia ni nani kiongozi bora katika nchi zote za Afrika.
ReplyDeleteKIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Wana Uchumi wanasema = there is no free lunch.
ReplyDeleteSasa wenye macho na akili wapate kutazama, kuona na kuelewa
JK MOTO WA KUOTEA MBALI ANA BAHATI YA KUZALIWA.NI RAIS MWAFRIKA KUCHUKUA KITU HICHO.MKAPA ULIKUWA WAPI?
ReplyDeleteKwa kweli suti ya Bush ni kali kulizo za hao wote.
ReplyDeletewewe ulyeweka habari ya CCM hapo sio mahala pake.tunampenda JK kwa umakini wake sio ccm,wewe huijui ccm labda ndio wale MA CARE wa reading wanaojiia wanakijua chama huku hawana wanalolijua.
ReplyDeleteBLING BLING LA MR. BUSH NI FEKI, MBONA HALING'AI KAMA LA OBAMA NA KIKWETE? KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!
ReplyDeleteAnony hapo juu huelewi kwanini huyo wa kwetu amepewa hilo bling bling?
ReplyDeleteBasi uko mbali na news unapaswa kusogea krb otherwise utaachwa mbali. Ni zile ekari 500, 000 tutakazowapo kulima mpunga kwa miaka 99 pasipo chochote cha maana. Kenya watatoa ekari 144, 000 kwa Kuwait watajengewa bandari kubwa kuliko ya Mombasa huko Lamu, electronic train na bonge la hotel Jomo kenyata Inten Aiport lakini still wanaona wameonewa. Wangejuwa sisi tunatoa mara 3 ya ardhi yao pasipo lolote la maana nadhani wangenyamaza.
KWANI HIZI BLING BLING HUWA WANAPEWA KWA KUFANYA NINI?
ReplyDeletethere is always free food on the hook, I doubt this award might cost our country forever
ReplyDeleteKwakweli JK mwacheni tuu ana nyota kali mfano hakuna, sijaona rais amekuwa na madhali maka JK hapa kwetu. sijui ni bahati ama utendaji kazi lkn anafunika bovu always.
ReplyDeletehongera baba, jitahidi tuu na sisi wananchi wako tupate nafuu ya maisha kama si bora zaidi naamini nia yako ni njema sema mambo yanabana pia na baadhi ya watendaji wako wanakuangusha lkn usikate tamaa utafika tuu.
Utendaji wa kazi nzuri!!!!
ReplyDeleteNa Bush naye alikua mtendaji wa kazi nzuri?
Mwarabu huyo anawapaka watu mafuta kwa mgongo wa chupa
Aisee,nafikiria wenetu wanaokosa masomo, wanaosomea sakafuni kwa kukosa madawati wanaoteswa na madaladala.
ReplyDeleteSiku ile ya mpira wa taifa star na wale vibonde wa wapi vile, kulikuwa na foleni kinoma, kama unataka ujue nini maana ya foleni nenda barabara ya kuelekea Gongolamboto kuanzia saa 11jioni, basi bwana, kwa kuwaonea huruma watoto waliokuwepo kituoni, tuliwaingiza wawili kupitia dirishani. Mlangoni hakuingiliki!
Kwasababu ya foleni, kubanana,njaa na kuchoka kwa wale watoto, waliishiwa nguvu, ilifikia wakati kila mzazi pale ndani kutamka maneno mabaya na kulaani. Fikiria foleni masaa zaidi ya mawili...!
Nikajiuliza hawa wanalaani nini, unamlaani nani, wakati wewe ndiye uliyempa kura yako...
Bling, bling, bling...na bado..mwenye nacho..utajaza mwenyewe
M3
HILO TATIZO LA FOLENI WALA KIKWETE AWEZI KULITATUA UNAMUONEA TU,FOLENI INASABABISHWA NA KUKOSEWA NA MIUNDO MBINU TOKA ZAMANI SANA NA KUREKEBISHA NI LAZIMA UWE NI MPANGO WA MUDA MREFU NA MATOKEO YATAKUJA BAADAE PENGINE HATA SISI TUTAKUWA TUSHAZIKWA,MFANO MZURI NI HUKU MAENEO YA MTONI BARABARA PANA YAANI HADI KUVUKA UNAONA KERO NA BADO ZINAPANULIWA DAILY.
ReplyDeleteWatu bwana kila mtu hapo juu kapewa kutokana na contribution yake kasoro Jk...GWB kwa sababu ya american base na soko la wese NY, Obama the same contribution plus original from muslim family and because is symbol of unification 21 cent..Mr Putin as co- partner because russian is first country for oil supply the second are sheikh's alafu mti mkavu kwa mambo ya long missile siunajua nchi kama hizi inabidi uwe karibu nazo...kuhusu mpendwa raisi wetu wadau naomba msaada kwanini alipewa naamini wengi mnajua reason
ReplyDeleteMdau wa Kamachumu
Kudadeki, akija kwetu na sisi tumvishe mgolole na mishanga ya Kimasai.
ReplyDeleteNyoo, Mwarabu jeuri atakataa katakata.