karate nje nje coco beach
kila siku za jumapili mambo yanazidi kuwa mswano coco beach jijini dar, ambao ni katika fukwe chache zilizosalia ambazo mmatumbi wa kawaida yuko huru kutembelea. pamoja na kupunga hewa na kupata viburudisho kwenye mgahawa maarufu wa coco beach, pia kuna michezo kibao. mtembelee othman michuzi kwenye libeneke la mtaa kwa mtaa kwa hayo na mengine kibao ya uswazi.
ukiwa mpenda masumbi, aidha kwa kuangalia ama kucheza, utaburudika coco beach jumapili


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 29, 2009

    Tatizo lao hao vijana, wakisha maliza hayo Mazoezi yao then wanativizia, kutupiga "Kabari" na kutuchukulia vyetu vya thamani.

    Hasa hasa hayo maeneo ya Coco Beach iwe mchana au kagiza kidogo tu ni Balaa!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 01, 2009

    Jamani hapa hamjaona tatizo lilliopo? jamaa wanapigana bila head protective gears? yawapi haya? hata professional boxers wakifanya mazoezi huvaa protective gears, lakini bongo ndio bongo. tena hawa jamaa wanapigana masumbwi ni nani anaesimamia mazoezi haya? kuna kuwepo na mfundishaji hapo? na vipi daktari au first aider wako wapi? hayo ndio matatizo ya nyumbani sasa tuseme jamaa hapo akipigwa konde zito na kuhitaji matibabu ya haraka watafanya nini? Serikali ni lazima waingilie suali hili na kuzuia zoezi zima. masumbwi ingawa ni mchezo, lakini ni mchezo hatari na daima unatakiwa kuchezwa kwenye controlled environment, mahali ambapo pana huduma zote za haraka pindipo zikihitajika na pia panahitaji wakufunzi kusimamia mazoezi yao.

    WATANZANIA TUAMKENI!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...