KAMPUNI MAARUFU YA DMK GLOBAL PROMOTIONS & MDOSI WANA WALETEA MWANA MUZIKI BORA WA AFRICA "ALI KIBA" a.k.a MR CINDERELLA LIVE PERFORMANCE IN WASHINGTON DC. ATAKUWA AKIPIGA NYIMBO ZAKE MAARUFU PAMOJA NA NYIMBO ZAKE MPYA AMBAZO TAYARI ZIMEISHA ANZA KUSHIKA CHATI YA JUUTAMASHA HILI KWA MARA YA KWANZA LITAKUWA KATIKA UKUMBI WA KISASA WA ZANZIBAR NIGHT CLUB ULIOPO KWENYE BAHARI ZANZIBAR NIGHT CLUB
700 WATER STREET,
SW WASHINGTON DC
KWA MAELEZO ZAIDI VISIT-
OR
YOU CAN ALSO CALL AT
301-661-6207
OR
301 -760-7237
ASK FOR DICKSON


Tamasha? ama kweli kiswahili kila kukicha kinabadilika! i have got nothing agaist ali kiba, simjui, sijawahi kusikiliza nyimbo zake na wala sina lengo la kusikiliza nyimbo zake, lakini utumiaji wa neno tamasha kwa maonyesho yake nadhani waungwana hapa mmekwenda kombo
ReplyDeleteİMETULİA HİYO MKUU NAHOPE LİTAKUWA TAMASHA BAAB KUBWA , AMİNİA WAZEE
ReplyDeletesure!! kwa neno ''tamasha'' wamichemsha!!!!
ReplyDeletelakini hongereni wabongo kwa kuitangaza vyema nchi, yaani kumbi za starehe states zina majina ya kibongo!!!! nimefurahi sana kuona hiyo ''zanzibar night club ikiwa dc''
Macmuga
what do you mean when you wrote "live"?
ReplyDeleteBy any chance are going to see/listen this live anywhere?