Wadau wa Chuo Kikuu cha Tumaini university, Iringa college, wanalalamika timu yao ya Ba of Cultural anthropology and tourism imetolewa mashindanoni eti sababu chuo kinahisi washabiki wake (wanachuo na wananchi kibao) wanaweza leta vurugu hii ni halali? picha hapo zikionesha kikosi cha BAcat na baadhi ya wachezaji wao mahili kama vile Hoboka,Salim aka Boban,tosh toshiba,Dee Mushi aka meku na chini ni mashabiki wao bada ya wapinzani kutia mpira kwapani. Sasa fujo iko wapi hapo jameni?
Home
Unlabelled
Timu ya Bacat yatolewa mashindanoni kwa zengwe?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Haya simba naona unauza sura tu hapo huna lolote la kusema!!!!
ReplyDeleteEh,huo ni uwanja wa Chuo kikuu au??
ReplyDeleteKweli bongo tambarare!!!
Boban mawela wa Bacat ...HAhaha salim bwana kwa kujipaisha!! ila kama na we unacheza basi kweli timu yenu ina vurugu...michezo furaha jamani!!!!!
ReplyDeleteWe mwenye la kusema mbona matokeo ya frm 6 yametoka umekaa kimya!!!!!
ReplyDeleteLakini huu ubabe me sina matatizo nao kwani haujaanza leo, mmmh, hawa jamaa wa Bacat wanatusumbua sana hapa Chuoni, muda mwingine natamani kutowaona ....lakini nitawamiss, wasipokuwapo huwa kuna pooza.
ReplyDeletewatu hawatupendi...ila tunawakaribisha kwenye bonanza j'mosi!!!
ReplyDeleteTanzania twapenda majina yote '''''Chuo Kikuu cha Tumaini university, Iringa college.
ReplyDeleteYaani hapo kwanini isiwe tu college au university?
halafu chuo kikuu cha tumaini university ouch!!!!! Nadhani mwandishi ni mwanafunzi wa chuo hicho pia suh bongo!!!!!! education!!!!! si tuongee kiswahili chetu tu kama lugha za watu hazipandi
Waalim wa kiswahili wanatafutwa peleka cv,au la saba?maana hata mzee kifimbo cheza hajasoma ila lugha anaijua!!!
ReplyDeleteIsikose ni kati ya walio tia zengwe bacat itolewe huyu kifimbo cheza wa vro michu!!
ReplyDelete