BWAWA LA MAINI WAMESHAANZA TIZI TAYARI KWA MSIMU MPYA. PICHANI KUTOKA KUSHOTO GERRAD, NYUMA JOE SPEARING, CARRAGHER, STEPHEN DARBY, GLEN JOHNSON - KIFAA KIPYA. KESHO WANACHEZA PRE- SEASON MATCH HUKO SWITSZERLAND. WALIOBEBA 'SHIKAMOO JAZI' NA MAGALASA POLE ZAO...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2009

    Dah Jifueni wazee, ila mi nahisi mnajisumbua tu mana Ngoma iko Stanford Darajani, kule ndio kila kitu Bw. Hata Special One (Josee) analijua hilo mana ameshaanza kuchonga juu ya mwalimu wetu.

    Chelsea timu bwana wengine watashindikiza tu 2009/10.

    Nawahakikishia mwaka huu tutachukua vikombe vitatu vikubwa ikiwemo cha Baclays na UEFA.

    kila la heri wanandugu.

    Mwanazanzibaar.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2009

    wewe michuzi msimu uliopita mbona ulisajiri lakini ukaambulia patupu
    na bora sisi tuliobeba magalasa lakini tuliambulia sasa tuone kama msimu huu tena ujalamba mchanga....na mimi nakuambiaaa poleeeeee eeh

    ReplyDelete
  3. MDAU WANANIHII,I MEAN LIVERPOOLKAMAUNAVYOITA WEWE BWAWALA MAINI WACHA UNAZI, MARA NYINGI NASHINDWA KUPITIA HABARZAKOZA MICHEZO KUTOKANA NA UNAZI ULIOKUJAA BILAKUANGALIA HALI HALISI NA WAKATI HUSIKA, MARA NYINGI NILITARAJ UZUNGUMZIE HALI HALISI NA SIO UNAZI.
    LIVERPOOL IKITOLEWA KWENYE MASHINDANO YEYOTE KWAKOMASHINDANOHAYO HUGEUKA KUA KOMBE LA MBUZI LAKINI IKISHINDA UNAJISAHAU KUPITA KIAS, KWASASA SUALA SI NANI KAMSAJILI KIKONGWEAU GARASA MANENO LIGI IKIANZA NA ZAIDI INAPOMALIZIKA PINDI ANAPOPATIKANA BINGWA,TENA MTU MAKINI KAMA WEWE UNATAKIWA UKAEKIMYA KWA KUZINGATIA TOKA LIGI YA KULE KWEUPE'UK' ILIPOBADILISHWA JINA NA KUA LIGI KUU BADO HAO UNAOWAITA BWAWA LA MAINI HAWAJAWAHI KUCHUKUA UBINGWA ZAIDI YA KUSIKIA HARUFU KUTOKA KWA WASHIKA BUNDUKI WA LONDON NA MASHETANI WEKUNDU WA 'OT' NA HAO CHELSEA,POLEKWA HILO
    SASA HII BLOG YAKOYA JAMII ISIWE KICHEKESHO NA HILO BWAWA LA MAINI AMBAYO JAMAA WANAKUJA KUJIPIMIA NA KWENDA KUTENGENEZA ROAST
    NARUDIA TENA POLE KWA HILO

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 13, 2009

    Hivi Carragher amezaliwa mwaka gani???Bado ni kijana???Au ni shikamoo jazi???

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 13, 2009

    Carragher ni kijana amezaliwa Feb 28 1988.Lol throwing stones at a glass house.You live in one .Shikamoo jazi itakutia ugonjwa wa moyo.Kelele kila mwamzo wa msimu, msimu ukiisha kila mwezi wa tano mnajipa moyo next year.Imekuwa ya manyani sasa.Wacheni kelele na kujitapa chezeni mpira.Bwawa la nyongo.Pia wacheni obssession na mabingwa.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 13, 2009

    mkianza tisi mapema au mkichelewa, mkinunua wachezaji wepya hata wangapi stori ni ile ile ikifika mwisho wa msimu hamlipati kombe la premier league ha ha ha ha ha ha!!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 13, 2009

    MSIMU UJAO MAN U WAPENDE WASIPENDE WATASHIKA NAFASI YA NNE MAANA WAMEISHAFULIA! MZEE FERGIE AMEISHAZEEKA..KACHEMSHA ILE MBAYA.. USAJILI SIKU HIZI UMEMSHINDA KABIIIISA!MWAKA JANA ALIMSAJILI BERBATOV KWA 32M HADI LEO WAPENZI WA MAN U WANAMCHUKIA ILE MBAYA KWANI KASABABISHA HADI TEVEZ KAONDOKA!! SIR ALEX ETI KANUNUA KIZEE OWEN..NA WINGA OBERTEN..WAJAMAN LIGI MBONA INACHELEWA TUJIONEE VIHOJA...RAHAAA UTAMU!!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 13, 2009

    shikamoo jazi mnayo nyinyi au hamujioni?, bwawa la majonzi kila mwaka, angalieni darajani wanavyotisha mwaka huu na bado, huyo glen johnson katimuliwa darajani kama mbwa koko, mmepotea stepu kumnunua eti sababu kacheza vizuri dhidi ya andora na kazakstan, ngoja akutane na akina maluda huyo ndio mtajua kama garasa.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 14, 2009

    UMESIKIA KUNAWACHEZAJI SITA WA PREMIER LEAGUE WALITIA DEMU MMOJA ANA NGOMA...SASA HOFU IMETANDA JUU YA AFYA ZAO,,WAMEPIMA NA WANASUBIRI MAJIBU KWA WASIWASI KAMA KONDA WA DALADALA KAONA TRAFIKI...HALAFU NA LILE SHOGA LA RONALDO LIMEKUFA KWA NGOMA BRAZIL LAST WEEK...E BWANA NGOMA INACHANGANYA JAMANI....

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 17, 2009

    michuzi anzisha kablogu kengine kanakohusu liverpresha pekee, hii unaichafua sawa? wale mnaoomba man kufulia ni sawa na kuku ok??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...