Tahir, son of Prof. Haroub Othman speaks today during a special commemoration day to celeberate his father's life at the University of Dar es salaam Nkrumah Hall. Tahir amazed the well attended function for turning out to be a good orator, like his father, sending gasps of awe across the famous hall, especially when he declared that like his father, he would like to work as Tanzania's ambassador to Palestine, an ambition he said Prof. Haroub sadly could not live to fulfill as he was a staunch believer of having a Palestine free state. Tahir with his uncle (left) and some of Prof. Haroub's closest buddies
Tahir with friends
Prof Issa Shivji give Tahir a bear hug for a good speech

Some students of Prof. Haroub Othman

Dr. Qorro speaks of Prof. Othman





Condolence book signing





some of the participants look at the many works of Prof. Haroub Othman





Vice Chancellor of the University of Dar es salaam, Prof. Rwekaza Mukandara (second right) and other dons follow the sombre proceeding





A cross section of participants
Grief and sorrow
Some members of the diplomatic corps and other participants

Prof. Issa Shivji (second left) and his family and other participants




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2009

    HAKIKA KIFO HAKIZOELEKI HATA SIKU 1, NAMKUMBUKA SANA MWL. WANGU PROF. OTHMAN, ALIKUWA NI MTU WA AINA YAKE KWA KWELI, HAKIKA ILIKUWA NI SIKU NZURI YA KUKUMBUKWA KWAKE, I WISH NAMI NINGEKUWEPO HAPO,M/MUNGU NAJUA ZAIDI, NA KWA HAKIKA KWAKE TUTAREJEA!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 18, 2009

    To be honest baada ya kututoka Chachage Seith Chachage niliwaambia rafiki zangu kwamba sasa masikio yetu ni kwa Prof Haroub Othman; kwa bahati nzuri mungu amemuita mapema na sasa sijui yupi ni muhim katika UDSM maana sijaona watu kama hao wawili ambao kitu wanachoongea wanakua na uhakika nacho kwa kua wanakua wamekifanyia utafiti; RIP Othman the good die young

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 19, 2009

    hesima yako mkuu, nimefurahi sana kuona Tanzania tuna umoja na wameweza kufanya jambo km hilo kummkumbuka Prof. Haroub. Ningepeta kama ungeweka hotuba (speech) aliyotoa Tahir pale UDSM, tupate kusoma na kujau nini aliongelea na nina hakika mkondo hufwata maji na wazungu wansema "like father like son" bs inawezekana Tahir akawa anweza kufwata nyayo za baba yake akisaidiwa na mama yake amabye ni Professor pia pale UDSM. balzoi jitahidi utuwekee hiyo speech maana tupo nje bs japo tujue nini kiliendelea pale. Shukrani

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 19, 2009

    Kwakweli namkumbuka sana Prof. ktk seminar yangu akiwa kama leader. Alikua kiboko ktk DS lecture za Human Rights at the Hill. Ila napata kichefu chefu kwa waandishi wanaolazimisha facts. Hivi mithupu kwanini unataka kuonekana sana kwenye photos ktk kila jambo? eti Tahir akiwa na marafiki wake wa Karibu(mithupu ndani,kapiga konoz na ze fulana lake). Be wise sometimes ktk vitu serious kama hivyo. Mtu mzima wewe. Ni kweli wewe ni rafiki wa karibu wa Tahir? toka wapi na tangu lini? Usiwe kama waandishi uchwara bwana. Abide by journalistic rules and ethics. Andika Habari,usitake wewe uwe habari kila kukicha kwa kuuza sura! May be you should do more schooling in Jounarnalism ndio utaelewa what I mean.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 19, 2009

    Huyo wa mbele hapo najua anaitwa Katapa(Prof/Dr). Aliwahi kunifundisha pia. Big up dons!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 19, 2009

    Good to see you Tahir doing great job on this special day.
    By the way where is our mom Prof. Saida? Michuzi hukumpiga picha mama why? tunampendaga yule mama jamani, she is very intelligent.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 19, 2009

    Kuna watu huwa wanakolopoka bila kufikilia yakundika,,hivi anonymous wa juli 19,01:30 mbona unamshambulia sana Mithupu unahudhunishwa na kuona picha yake?au! tafadhali mwache aendeleze kazi yake,,yeye huwa anataka kuonyesha watu wapya ndani ya hii blog mithupu au michuzi ni yupi,au anaonyesha kuwa ndani yahayo mazingila nayeye alikuwepo hakumtuma mtu mwingine kwakupiga picha mbalimbali,Tena nakusihi usiwe na kichefuchefu kwa kuona mtu ambae hukumuumba,au hujui maana ya hilo neno, wewe bwana kama umepinda kimawazo!au kihali sio uje kumshambulia Bw.Michuzi.Hongela sana mithupu kwa habali mbalimbali unazotupasha.Uzidi kuwa na afya nzuri milele.mdau Rotterdam

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 20, 2009

    Prof.Haroub alikuwa mtu wa aina yake,alikuwa mtu wa watu,mtetezi wao wanyonge kwa kweli ni pengo kubwa sana sana.Na jamaa hapo juu aliulizia kuhusu prof.saida nigependa kumjulisha kuwa kulingana na mila na sheria ya dini ya kiislamu Prof. yuko katika kipindi cha maombolezi (EDA),Kipindi hicho ni miezi 4 na siku 10.I am really missing you uncle! kweli kizuri hakidumu.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 20, 2009

    Napenda kumhakikishia huyo aliye hoji urafiki wa Mkuu wa wilaya ya nanihiii na Tahir Othman, ukweli ni kwamba hawa ni marafiki tena ni marafiki wa muda mrefu tu. Hii haikutokea tu kwa sababu ya kifo cha Prof na kwa kusibitisha hilo naomba mkuu wa wilaya ya nanihii mkumbushe kwa kumsibitishia hilo kwa kupost tena kwa mara ya pili ile picha ya Tahir, Mkuu wa wilaya ya Nanihii na Amin (mtoto wa kwanza wa Tahir) iliyopigwa mwaka 2006 na sita huku Amin akiwa kwenye Kofia ya bendera ya England na Mkuu wa wilaya ya nanihii akiwa na vile vitu vya Brazil, sasa sijui hiyo miaka mitatu iliyopita ulikuwa unajigeza wewe ndio habari au. Anyway, pengine mnajuana kwahiyo langu ni hilo ......

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...